Mwenza wako anapokataa kufunga ndoa lakini anataka muendelee kuwa pamoja nini maana yake?

Ni kweli kabisa kwa sabau mshikaji baada ya kubanwa sana na familia yameibuka mengine kuwa huyu mdada ni mara ya nne kutoroka kwa nyakati tofauti tofauti n kurudi lakini jamaa alikuwa akimalizana naye kimya kimya. Mbaya zaidi mshikaji anaona kama bado anastahili msamaha. mkuu sasa sijui huyu mwanamke alikuwa akitumia mbinu gani.
 
Jamaa inabid ajitathimin sana anaweza akalea watoto wa mwanaume mwenzie.
Hakuna kitu anachopenda mwanamke km kufunga ndoa tena kwa kufanya harusi. Na mwanamke akikupenda hawez kukataa kufanya harusi hata siku 1.
Ndoa ni maisha. Jamaa ajitafakari anaweza kulia huko mbelen.
Huyo mwanamke kuna mwanaume anayempa kiburi na ndio anayempenda sana kuliko huyo jamaa yenu
 
Kuishi na mwanamke kama huyo ni dhambi ata kwa mungu yani hataki ndoa anataka sogea tukae dunia inamambo
 
Huyu Dada si bure kuna mtu anamsumbua! Labda kwa vile upo mbali nae na je Ukisafiri hua unarudi nyumban upatapo likizo tuu au?
 
Ndugu yangu,huyo sio mwanamke wa kuoa,inawezekana anayo mume mwingine,jamaa yako akienda kazini na yy anaenda kwa mume wake wa kweli,mwambie jamaa yako asimsogelee tena huyo dada.
 
Dah....Mie ngoja niwe wazi maana imekuwa too much..... Kwa akili za kawaida kabisa siyo vibaya ukaomba ushauri juu ya namna Bora ya kusimamia biashara yako ili upate faida....au ukaomba ushauri jinsi ya kuvaa ukiwa unaenda harusini..au hata juu ya tatizo fulani la afya ...nasema si vibaya kwa sababu wataalam wa hayo mambo wapo .....Lakini ni UJINGA kuja hapa kuomba ushauri wa kumpenda mtu au kutompenda kwa sababu hilo jambo linahusu moyo wa mtu..ambao ndiyo mwamuzi..mtu wa pili hana ushauri wowote juu la hili kwa sababu ni jambo la KUUSIKILIZA MOYO WAKO. Kama kweli kama wangekuwepo wataalam wa haya mambo basi wangekuwa wamejaza wanawake au wanaume katika majumba yao... Mapenzi yanataka muendane ....Bila ya hivyo ni utumwa ..[emoji41] [emoji41]
 
Huyo jamaa jinga kabisa hana msimamo. Huyo si mwanamke wa kufaa kuoa tena.

Ni wale wanawake ambao huwa wanakuwa na wanaume zaidi ya mmoja na wanaweka malengo kwa wanaume wote hao, anamtingishia kiberiti jamaa na atamtawala sana mwanaume.

Kwanza nahisi kichwani mwake si mzima kbs na amejaa kiburi.
 
Hapo hamna mapenzi bora jamaa afwate ustarabu wake apige zake kazi ale watoto wake wanawake sasahivi hawa eleweki sio wake za watu wala wasichana
 
Huyu dada kakutana n tapeli za mapenzi la speed ya 4G
Hili ndio jibu la swali kwa mtoa mada.
Huyo kuna mahali alidanganywa na kupewa ahadi hewa zikamchanganya akili na kumsahau mme wake sasa baada ya kutumika kwa hizo siku alizokuwa hayupo hewani baadae kaachwa mitini ndio akili zimemrudi.
Kwa kifupi huyo hafai kuwa mke akili zake ni fupi mno yaani pamoja na kuzalishwa watoto wawili ila bado akili zake hazijamkaa sawa,kuishi na mwanamke wa aina hiyo ni hatari sana maana huko mbele ya safari akishawishiwa na mtu akuwekee sumu ili ufe kwa maslahi fulani atafanya kweli maana hajui kutumia akili
 
Anataka uendelee kuwa mchepuko , hiyo ni massive disrespect. Kama anajielewa hawez kukubali kuwa backup, ni upumbavu
 
Anrudishe ila asifunge nae ndoa awe anajipigia tu kama mlupo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…