Mwenzenu nafananishwa sana na mtu

[emoji23][emoji23][emoji23] aggy ni bomu.. Hutomweza
Aggy plz, unajua hakuna kitu kigumu kama kutamka mtandaon kuwa unampenda mtu fulani hapa nimeamua kujilipua mwenzio!
Na hakuna kitu kibaya zaidi kama kukataliwa mtandaoni daaaaaaahhhhh!!!
 
Mie sitaki kuchangia kuhusu kufananishwa na mtu!
Ila natamani niwe mwenza wako kimaisha niko serious Aggy!
ngoja nikutumie namba yake,huyo binti ni mstaarabu sana,mimi napafaham mpka nyumban kwao,alafu anajua mapenz balaa yaan ww utaniambia tu wala si masiala,pia ni muelewa sana sio kama hawa madada wa mjini,ngoja nikutumie namba zake uongee naye.
 
ngoja nikutumie namba yake,huyo binti ni mstaarabu sana,mimi napafaham mpka nyumban kwao,alafu anajua mapenz balaa yaan ww utaniambia tu wala si masiala,pia ni muelewa sana sio kama hawa madada wa mjini,ngoja nikutumie namba zake uongee naye.
Mkuu ntakutoa busha [emoji48][emoji53][emoji53]
Jiangalie
 
Una sura na tabasamu zuri ndo maana, wanavutiwa na uzuri ulio kwenye taswira yako kiasi akili zao zinzwataarifu walishawahi kukuona na wanakufahamu.

Uzuri iwe unafananishwa na mtu asiye na mawaa.... fikiria unafananishwa na mtu ambaye ni kama Amber Rutty halafu wanajihakikishia kabisa ni wewe...( nisemea mfano simaanishi hivyo) Yaani ikiwa wanakufananisha na mtu mwenye matendo maovu au mabaya kwa jamii wakati wewe huna hata moja unalojua..... unaweza jikuta unatekwa au unauzwa hivihivi.

k' Matata.
 
Wewee kasie matata
Hapo kwa amber rutty umeniacha hoi[emoji23]
 
Itakua hivo aisee..
Hahahh...! Sasa ukadhani baba yako alikuwa na mbegu moja tu ya kwako?? Maana kama ya kwako alitupa somewhere ujue aliendelea kuputa nyingine.

Njoo pm nikuulize kitu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…