Mwenzenu nahitaji mwenza

Mwenzenu nahitaji mwenza

lutamyo

JF-Expert Member
Joined
Apr 13, 2011
Posts
641
Reaction score
159
Naomba wana jf mnisaidie mm natafuta mwenza. Awe msafi, mwenye moyo wa utu wema, mkweli. Tafadhar niko serious upweke unaleta ugonjwa wa moyo
 
mkuu itabidi utoe cv yako kabla raia hawajaanza kukumwagia sela ukarusha matusi na mwisho wake unakula ban..
 
kila khel,
Ila kumbuka kuweka sifa uliizonazo wewe kama ulivoweka sifa za mwenza unae mtafuta bila kusahau jinsia
 
majina ya kihaya haya luta... somethingi jamani kwa mtazamo wangu huyu ni wa kiume anayebisha amchungulie ajue ni wa aina gani me huwa nanusa tu nishajua ni wa kiume msaidieni bado ana uoga hata wa kujielezea


Iwe Wagambire wana jf vizuri
 
Naomba wana jf mnisaidie mm natafuta mwenza. Awe msafi, mwenye moyo wa utu wema, mkweli. Tafadhar niko serious upweke unaleta ugonjwa wa moyo
Hapo hapo, hicho hivi huwa kigezo eee, all the best utamyo
 
Back
Top Bottom