Mwenzenu naibiwa live mimba miezi kumi na mbili inawezekana?

Mwenzenu naibiwa live mimba miezi kumi na mbili inawezekana?

ananing"ang"ania eti mtoto wa kwangu wakati niliachana nae miezi nne akawa na wanamme mwingine wakashindwana tena ndio akataka kurudi tena kwangu akiwa na mimba. tangu tumeachana mpaka anajifungua ni miezi 12 tulihesabu nae vizuri na yeye anajua ni miezi 12 tangu tukutane kimwili, hiyo mimba ni ya kwangu au ya huyo wanaume aliyeachana nae wa mwisho????? nahitaji ushauri zaidi please.
 
mkuu mbona tatizo dogo sana, kama mimba ilifika miezi 12 hio ni complication ambayo ndugu jamaa na marafiki wa karibu wanaijua fika,ebu peleleza kama ni kweli, au hata hospitali aliyojifungulia.kama we ni baba kama anavyodai una haki ya kufanya uchunguzi. hebu anzia hapo kwanza
 
Mtoto ni mali. Ukiambiwa wako wewe lea tu, si lazima umlee mtoto aliye damu yako. Ukimwandikisha jina lako huyo ni wako tu
 
kunamjanja kakataaa
anataka akuuzie mbuzi kwenye kiroba
 
Hapa nimeshindwa kuelewa....


Akadai kuwa ameamua tu ila baada ya kuachana nae masaa machache akanipigia simu na kuniambia kuwa ana ujauzito wangu, nilishangaa sana kwa sababu mimi sikukutana nae kimwili yapata miezi minne iliyopita na hakuwahi niambia kitu chochote kuhusu hiyo mimba,

4.Tangu nakutane nae kimwili mara ya mwisho hadi siku aliyojifungua imepita miezi 12, je?

 
Ndugu zangu wana JF nina shida ambayo nashindwa kuitatua.

Kuna msichana mmoja nilikuwa nina mahusiano nae ya kimapenzi ila tulikuja kuachana baada ya kuona tumeshindwana kitabia.

Sasa baada ya kuachana tulikaa muda mrefu bila kuwasiliana siku moja nilitaka anirudishie computer yangu nikamkuta amevaa koti huku jua linawaka nikamuuliza kulikoni umevaa koti na jua kali?

Akadai kuwa ameamua tu ila baada ya kuachana nae masaa machache akanipigia simu na kuniambia kuwa ana ujauzito wangu, nilishangaa sana kwa sababu mimi sikukutana nae kimwili yapata miezi minne iliyopita na hakuwahi niambia kitu chochote kuhusu hiyo mimba, ila mimi nilikataa, ilipita muda yule binti akajifungua mtoto wake.

Sababu za mimi kumkataa hadi leo ni hizi zifuatazo.
1.Haiwezekani ukae na mbimba muda wa miezi minne bila kuniambia chochote ila baada ya kuniona ndio akanipigia cmu kuniambia

2.Kuna kipindi akarudi kuniomba msamaha na kunieleza kuwa amejaribu kuwa na mwanaume mwingine ila nimeshindwana nae anataka turudiane.

3.Nilimkuta amevaa koti ili kuficha mimba nisijue kuwa anamimba ila niligundua.
sababu kuu.

4.Tangu nakutane nae kimwili mara ya mwisho hadi siku aliyojifungua imepita miezi 12, je?

Inawezekana kuwa na mimba ya miezi 12?
Je kama ni wewe utakubaliana nae?

Ushauri wako wako ni wa muhimu sana jamani nisaidieni hili.



Napata shida na uwezo wako wa kuchambua mambo na kufanya maamuzi. Hivi ww...

1. Amejifungua baada ya miezi 12 tangu kuachana, miezi 3 ya ziada, hivi unategemea nini. Hiyo mimba ya kwako????
2. Miezi minne hajakwambia, alijua haikuhusu, alipokataliwa huko ikabidi akuletee.
3. Alikuwa na mwanaume mwingine, wameshindana ikabidi akuletee. Vipi ikiwa wasingeshindana
 
Achana nae we ifanye historia tu hiyo ya kuwa nae.... huyo mtoto sio wako..... anataka kukupa majukumu ambayo sio yako...
 
Ndugu zangu wana JF nina shida ambayo nashindwa kuitatua.

Kuna msichana mmoja nilikuwa nina mahusiano nae ya kimapenzi ila tulikuja kuachana baada ya kuona tumeshindwana kitabia.


Sasa baada ya kuachana tulikaa muda mrefu bila kuwasiliana siku moja nilitaka anirudishie computer yangu nikamkuta amevaa koti huku jua linawaka nikamuuliza kulikoni umevaa koti na jua kali?

Akadai kuwa ameamua tu ila baada ya kuachana nae masaa machache akanipigia simu na kuniambia kuwa ana ujauzito wangu, nilishangaa sana kwa sababu mimi sikukutana nae kimwili yapata miezi minne iliyopita na hakuwahi niambia kitu chochote kuhusu hiyo mimba, ila mimi nilikataa, ilipita muda yule binti akajifungua mtoto wake.

Sababu za mimi kumkataa hadi leo ni hizi zifuatazo.
1.Haiwezekani ukae na mbimba muda wa miezi minne bila kuniambia chochote ila baada ya kuniona ndio akanipigia cmu kuniambia

2.Kuna kipindi akarudi kuniomba msamaha na kunieleza kuwa amejaribu kuwa na mwanaume mwingine ila nimeshindwana nae anataka turudiane.

3.Nilimkuta amevaa koti ili kuficha mimba nisijue kuwa anamimba ila niligundua.
sababu kuu.

4.Tangu nakutane nae kimwili mara ya mwisho hadi siku aliyojifungua imepita miezi 12, je?


Inawezekana kuwa na mimba ya miezi 12?
Je kama ni wewe utakubaliana nae?

Ushauri wako wako ni wa muhimu sana jamani nisaidieni hili.


Pole sana mkuu
 
Back
Top Bottom