Mkuu.@Zezeta La Town Pole sana kwa hayo Matatizo yako yanaayo kukuta jaribu fanya hivi kila unapo amka Asubuhi kunywa Maji ya Uvuguvugu glasi 2 kabla ya kupiga mswaki na ukisha piga mswaki kunywa tena maji
ya Uvuguvugu glasi moja kisha ukae kama dakika 45 ndio ule mlo wa asubuhi na mchana chemsha maji ya
uvuguvugu unywe glasi 2 kisha ukae dakika 45 baada ya dakika hizo 45 waweza kula. Na mlo wa usiku kunywa tena Maji ya uvuguvu glasi 2 kisha ukae dakika 45 baada ya hizo dakika 45 waweza kula mlo wa usiku
na wakati wa kwenda kulala kunywa tena maji ya uvuguvugu glasi moja kisha ulale fanya hivyo kila siku baada ya siku 7 njoo unipe feedback unaendeleaje . Na Usikose kwenda Hospitali kumuona Daktari.
sor for asking,
how old ar ya?
what is ya occupation,?
when did this problem begins? POLIPHAGIA?
do ya have any preference ya vyakula unavopenda au kila chakula unagonga tu?
vipi choo unapata vizuri? na tumbo wala halisumbui zaid ya kunguruma huko unapokua na njaa?
huwa usiku pia unaamka kula? kwa njaa?
na mkojo unapata vizuri? unaamka usiku kukojoa?
is there any family history of kisukari?
kuna mabadiliko yoyote ya ngozi unayaona?
tumbo huwa linajaa gesi|?
vipi macho huna tatizo lolote? unapata shida wakati wa joto? heat intolerance?
mwili upo sensitivie zaidi ya unavofikiri?
till then, b4 ya answer my questions, endelea na matibabu ulopewa hapo juu na ndugu
tumia pia dawa za minyoo,, sio vibaya
Excessive hunger is characterized by the need for increased food intake above your usual caloric needs. It may be caused by disorders in the systems that regulate appetite and blood sugar or by circumstances such as pregnancy. Excessive hunger can also be attributed to endocrine conditions, such as Graves disease and hyperthyroidism, in which the body produces excess amounts of thyroid hormone, resulting in weight loss, hyperactivity, insomnia, or constant hunger that is unsatisfied by eating.
Hypoglycemia is another cause of hunger and is caused by rapid fluctuations in blood sugar that lead to excessive insulin in the bloodstream. People with diabetes are especially prone to hypoglycemia. Severe cases are known to cause insulin shock and coma, so proper control of blood sugar and insulin levels is essential.
Hunger also has an emotional and mental component. Some people eat more when they are sad, depressed, stressed, or anxious. Certain medications, such as antidepressants, sedatives, and birth control pills, are also associated with increased appetite.
Kama hali ni mbaya kihivyo: Nenda hospitali ukafanyiwe vipimo hivi:
1. Hormonal assay
2. Comprehensive Chemistry pannel
3.T3 and T4.
4.FBP.
Mkuu Zezeta La Town fuatilia Dawa yangu ya hiyo ya Tiba mbadala uwe ndio kila siku unatumia njia hiyo basi matatizo yako yatakwisha inshallah.Ahsante sana dr MziziMkavu, Mimi Maji Nakunywa sana(si ya vuguvugu)
asubuhi naamka kwa lita moja na susu
Mchana na usiku vivyohivyo!
Lakini nitajaribu tiba uliyonipa, Ahsante sana!
Miaka 23
Mkuu, Una miaka 23 halafu unasifia ufanyaji wa punyeto na unang'ang'ania kuwa haina madhara? ndiyo maana unakulakula hovyo na haunenepi. Nadhani umeshajijibu sasa kuwa PUNYETO haifai.
Mkuu Zezeta La Town Kupiga Punyeto hakusababishi wewe kula sana ila kupiga Punyeto kwa umriSasa mkuu kwani punyeto inaleta hasara mpaka nakula sana, eti Dr. MziziMkavu ni kweli Haya?
Bila Shaka Mu Wazima madokta wangu!
Mwenzenu huku ari ni ya utata sana, kwani ninatatizo la kula sana takribani kilo moja na nusu
Hiyo ni kwa mlo mmoja tu yaani asubuhi, na mchana ukifika mwendo ni huohuo mpaka usiku!
Nimekunywa dawa za minyoo lakini bado tatizo halikomi,
Mpaka Naona aibu kula migahani au sehemu ya watu zaidi yangu, nisipokula Mlo Mmoja kwa siku tumbo huunguruma hasa nikihisi harufu ya chakula!
Mimi sio mnene,sifanyi kazi ngumu na wala sinyanyui vyuma vizito,
Nisaidieni madokta!
Sasa mkuu kwani punyeto inaleta hasara mpaka nakula sana, eti Dr. MziziMkavu ni kweli Haya?
Bila Shaka Mu Wazima madokta wangu!
Mwenzenu huku ari ni ya utata sana, kwani ninatatizo la kula sana takribani kilo moja na nusu
Hiyo ni kwa mlo mmoja tu yaani asubuhi, na mchana ukifika mwendo ni huohuo mpaka usiku!
Nimekunywa dawa za minyoo lakini bado tatizo halikomi,
Mpaka Naona aibu kula migahani au sehemu ya watu zaidi yangu, nisipokula Mlo Mmoja kwa siku tumbo huunguruma hasa nikihisi harufu ya chakula!
Mimi sio mnene,sifanyi kazi ngumu na wala sinyanyui vyuma vizito,
Nisaidieni madokta!
punyeto nouma itakuuaBila Shaka Mu Wazima madokta wangu!
Mwenzenu huku ari ni ya utata sana, kwani ninatatizo la kula sana takribani kilo moja na nusu
Hiyo ni kwa mlo mmoja tu yaani asubuhi, na mchana ukifika mwendo ni huohuo mpaka usiku!
Nimekunywa dawa za minyoo lakini bado tatizo halikomi,
Mpaka Naona aibu kula migahani au sehemu ya watu zaidi yangu, nisipokula Mlo Mmoja kwa siku tumbo huunguruma hasa nikihisi harufu ya chakula!
Mimi sio mnene,sifanyi kazi ngumu na wala sinyanyui vyuma vizito,
Nisaidieni madokta!