Mwenzenu napenda attention!!

Mwenzenu napenda attention!!

Tena kama hawa wanakuwa wepesi sana mpwa, manaake ukimwambia hilo gauni limekutoa, basi akivaa gauni jengine lazima atajileta ili umwambie tena, na siku ukikosea stepu ukamwambia kwa mwonekano wako wewe inaonekana kitandani mechi extra time, basi ile attention itamfanya atake kukuonesha kweli.

NB: mie sjasema kama phina yuko hivi wajameni, nimemwongelea huyu waifu wa jirani yangu apa

Hahahaha mpwa umeniacha hoi hapa sana
Kuna watu mabingwa kucheza na akili za watu, na hapo hatumii nguvu nyingi kumaliza gemu yeye mwenyewe anajileta kunako machinjio kama mbwa akimwona chatu anajipeleka mwenyewe kumezwa.
 
Mbona wengine hatutaki wala hatulazimishi ila tunapata sana tu?Na huo mwili unavyoufunua sana vipi sura? Hailipi vyakutosha?

Njoo nikufundishe namna ya kuwa wewe bila mbwembwe na bado ukapata attention popote uendapo.
 
Tena kama hawa wanakuwa wepesi sana mpwa, manaake ukimwambia hilo gauni limekutoa, basi akivaa gauni jengine lazima atajileta ili umwambie tena, na siku ukikosea stepu ukamwambia kwa mwonekano wako wewe inaonekana kitandani mechi extra time, basi ile attention itamfanya atake kukuonesha kweli.

NB: mie sjasema kama phina yuko hivi wajameni, nimemwongelea huyu waifu wa jirani yangu apa

Thank you for making that last part clear..maana hawachelewi kukuza mambo!
 
Mbona wengine hatutaki wala hatulazimishi ila tunapata sana tu?Na huo mwili unavyoufunua sana vipi sura? Hailipi vyakutosha?

Njoo nikufundishe namna ya kuwa wewe bila mbwembwe na bado ukapata attention popote uendapo.

Acha kutupeperushia ndege tunduni bi mkubwa.
Lakini hujambo? Shemeji vp umesha mpikia magimbi?
 
What your trying to be won't do you any better,just be yourself yupo atakae kupenda for what you are without much complications..hiyo ya mume wa mtu ndo balaa kabisa don't try it at home it might cost your life my dia..

Speaking from experience nini??(just kidding)
Asante mwaya..
 
Acha kutupeperushia ndege tunduni bi mkubwa.
Lakini hujambo? Shemeji vp umesha mpikia magimbi?
Haya Fidel80 sitompa maujanja tena. . .bebeni jumla jumla kama mnaweza!!

Mzima wa afya. . . ndo nataka nimsongee ugali hapa. . mboga tayari!!
 
Last edited by a moderator:
Haya Fidel80 sitompa maujanja tena. . .bebeni jumla jumla kama mnaweza!!

Mzima wa afya. . . ndo nataka nimsongee ugali hapa. . mboga tayari!!

Huyu lazima apike na kupakua kwa mpwa klorokwini mshenga atakuwa babu Asprin mi mpambe karibu kwenye mnuso.
 
Mbona wengine hatutaki wala hatulazimishi ila tunapata sana tu?Na huo mwili unavyoufunua sana vipi sura? Hailipi vyakutosha?

Njoo nikufundishe namna ya kuwa wewe bila mbwembwe na bado ukapata attention popote uendapo.

Wengine mliaga kwenu na mibaraka mkapewa!!
Sie wengine ndo ivo tena personal conflicts kila siku!i will make it though-find my own way..thanks for offering
 
waswahili wanasema cha mtu mavi.......chukua mume wa mtu uchanwe viwembe usoni au umwaguwe maji ya moto....ndipo utakapopata attention barabarani bila kutarajia.....
 
Hahah..hashikwi ndege wala nini!hamuambulii chochote hapa🙂
phina, wala mpwa fidel hakutakii mabaya , mimi ndo lawyer pekee hapa JF ambae spendi uasherati. Njoo nikupe attention honey wangu kina Lizzy na King'asti wajinyonge
 
Last edited by a moderator:
Thank you for making that last part clear..maana hawachelewi kukuza mambo!
Si umeona darling phina, yaani mimi nikakuseme wewe kwa ubaya, sitosubutu na wala sitoweza
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom