hayo ni mapepo/ majini yamekuingia, na wewe ndie chanzo ama kwa tabia zako au kuna mtu amekutupia. cha kufanya amini kwamba yesu anaweza kila jambo hakuna gumu la kumshinda kata shauri mpokee bwana yesu, amini anaweza kukuponya na hiyo hali na nyinginezo kisha tafuta kanisa lenye nguvu ya mungu (sio kila kanisa wana nguvu ya mungu) nenda uombewe na ujifunze kujiombea mwenyewe.
Inawezekana kabisa.
Ukute alimpiga mwanamke chini tena ndo atajiongezea mawazo hadi mwili udhoofu.