Mwenzenu Napita kipindi kigumu sana

pole sana nakushauri utumie dawa ya asili iitwayo golden ooyster ni nzur sana ebu ni text 0765650028 nikupe maelezo zaidi
 
Hospitali utapotez pesa na muda wako,kama walivyoshaur wengne..we nenda2 kaombewe.
 
Kanisa lenye nguvu ya mungu unalijuaje Mkuu!!?

 
Utakuwa umetupiwa jini Fulani hivi, (kombora) nenda kwa mtalamu na km huna mtaalamu nitafute nikupe mawasiliano yake. hiyo ni issue ndogo sn. lkn pole kwa kujaribiwa kimtindo.
 
Kwa kweli waliokushauri juu ya kwenda kuombewa wamefanya jambo jema sana.
Usipuuze. Achana na mambo ya waganga. Your life will be much worse uki run to waganga. Mungu ndo Suluhu yako.
Your answer only God has it and your healing is also with God.
Nenda kanisa unaloamini lina maombi ya nguvu za Mungu ukaombewe achana na waswahili. Trust me.
 
Dadii2 Cha imani za kishirikina mwelekeze mtu kwa muumba wake
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…