Mi mwenyewe sikutaki.Usijaribu watu washapagawa umepata ulichokua unakitaka mke wangu mm nimemaanisha nasema tena sikutaki tena sio mke wangu kuanzia sasa naongea hv kwa uchungu sina budi kukuacha sikutaki tena
Habari za jioni!
Jamani mwenzenu jana nimezinguana na Baba watoto, katika purukushani nikamwambia niachee nitikise kibiriti....akanijibu subiri, sijakaa vizuri imeingia sms "Mimi Baba kidogoli nimekuacha Mamy K talaka 1, sio mke wangu"
Yani hapa nipo nipo sijui nilie, sijui nicheke, nahisi kisukari si kisukari, covid si covid....!
Wanazuoni njooni mnishauri hiyo si talaka tayari? Hivi kweli mkeo unayempenda akikwambia niache unamwambia hivo, kuna mapenzi hapo?
Nipeni ushauri manake kesho anarudi nyumbani najua ataanza kunibembeleza na kunambia hakuwa anamaanisha, kuna mapenzi hapa?
Sijapenda🤣🤣Utachukuliwa na usafiri unaofuata maana kauli inaonesha imetokea kwenye dini inayoruhusu mambo ya kuachana kimasihara.
Kuna mambo aliniudhi, nikakasirika.Hata wewe mumeo unayempenda utamwambiaje akuache,niache?
Tatizo kuu la wanawake almost wote ni KAULI.Habari za jioni!
Jamani mwenzenu jana nimezinguana na Baba watoto, katika purukushani nikamwambia niachee nitikise kibiriti....akanijibu subiri, sijakaa vizuri imeingia sms "Mimi Baba kidogoli nimekuacha Mamy K talaka 1, sio mke wangu"
Yani hapa nipo nipo sijui nilie, sijui nicheke, nahisi kisukari si kisukari, covid si covid....!
Wanazuoni njooni mnishauri hiyo si talaka tayari? Hivi kweli mkeo unayempenda akikwambia niache unamwambia hivo, kuna mapenzi hapo?
Nipeni ushauri manake kesho anarudi nyumbani najua ataanza kunibembeleza na kunambia hakuwa anamaanisha, kuna mapenzi hapa?
Na wewe mumeo hauwezi kumwambia hivyoHabari za jioni!
Jamani mwenzenu jana nimezinguana na Baba watoto, katika purukushani nikamwambia niachee nitikise kibiriti....akanijibu subiri, sijakaa vizuri imeingia sms "Mimi Baba kidogoli nimekuacha Mamy K talaka 1, sio mke wangu"
Yani hapa nipo nipo sijui nilie, sijui nicheke, nahisi kisukari si kisukari, covid si covid....!
Wanazuoni njooni mnishauri hiyo si talaka tayari? Hivi kweli mkeo unayempenda akikwambia niache unamwambia hivo, kuna mapenzi hapo?
Nipeni ushauri manake kesho anarudi nyumbani najua ataanza kunibembeleza na kunambia hakuwa anamaanisha, kuna mapenzi hapa?
Aliniudhi, amenikosea kosa la wazi na bado akahamisha makosa kwangu.Na wewe mumeo hauwezi kumwambia hivyo
Bhas kayamalize kwa baba kKuna mambo aliniudhi, nikakasirika.
Mwenyewe natamani iwe kweli, Ila tatizo kashaanza kunibembeleza anasema hajamaanisha....hajaniacha.Watu wanatafuta visa tu uachwe ishatoka iyo😅😅😅
Hujapenda nini?Sijapenda🤣🤣
Hapa anayejuta yeye, mi Niko tayari, Ila sitaki yafike Kwa wazazi, sitaki vikao....nataka tuachane kimya kimyaTatizo kuu la wanawake almost wote ni KAULI.
Huwa mnatoa kauli ngumu sana mkiwa na hasira.. Zikishawatoka hizo hasira ndo huwa mnabaki kujuta haswa