Habari za jioni!
Jamani mwenzenu jana nimezinguana na baba watoto, katika purukushani nikamwambia niache nitikise kibiriti, akanijibu subiri. Sijakaa vizuri imeingia sms "Mimi baba Kidogoli nimekuacha Mamy K talaka 1, siyo mke wangu".
Yani hapa nipo nipo sijui nilie, sijui nicheke, nahisi Kisukari si Kisukari, Covid si Covid! Wanazuoni njoni mnishauri hiyo si talaka tayari? Hivi kweli mkeo unayempenda akikwambia niache unamwambia hivyo, kuna mapenzi hapo?
Nipeni ushauri maana kesho anarudi nyumbani najua ataanza kunibembeleza na kunambia hakuwa anamaanisha. Kuna mapenzi hapa?
Jamani mwenzenu jana nimezinguana na baba watoto, katika purukushani nikamwambia niache nitikise kibiriti, akanijibu subiri. Sijakaa vizuri imeingia sms "Mimi baba Kidogoli nimekuacha Mamy K talaka 1, siyo mke wangu".
Yani hapa nipo nipo sijui nilie, sijui nicheke, nahisi Kisukari si Kisukari, Covid si Covid! Wanazuoni njoni mnishauri hiyo si talaka tayari? Hivi kweli mkeo unayempenda akikwambia niache unamwambia hivyo, kuna mapenzi hapo?
Nipeni ushauri maana kesho anarudi nyumbani najua ataanza kunibembeleza na kunambia hakuwa anamaanisha. Kuna mapenzi hapa?