Mwenzenu nimenasa kwa mtoto wa Kondoa sifurukuti

From Meru

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2023
Posts
3,931
Reaction score
9,376
Kazi zangu za tofar zimenikutanisha na mtoto wa kirangi mama ntilie.

Huyu mtoto nashindwa kutambua ameniroga au ni michezo brand new anayonipa, sisikii. nikiwa naye simu
naweka mbali naiona disturbance mtoto mtukutu kama wacheza rugby hakubali kushindwa. mimi ndio
nafundishwa mapenzi.

Ubedui wa Kimeru wote kwapuni nimetekwa nikatekeka. Huku Darisalama kwel sio kuzuri. Niitaeleza nn familia yangu wanajua mtoto wao napambana kumbe nimeshikiliwa mateka na mtoto wa kiislam wa kirangi
napoelekea hata dini nitabadili.

Kumbe mapenzi yameanzia kondoa na sio Tanga nimekuja kugundua.
 
Duuuh hongera sana, pia Pole sana, Wa rangi wanafaa kuoana wao kwa wao, kama wewe ni mrangi mwezie hapo fresh tu oa. Ila nakupa warning, usiingie mazima mazima utapigwa na kitu kizitoo. Mimi naishi Kondoa (Kilimani) ila sio mzawa wa kondoa.
 
Utagongewa sana kitaa. Hao tunachapa na kusepa
 
Duuuh hongera sana, pia Pole sana, Wa rangi wanafaa kuoana wao kwa wao, kama wewe ni mrangi mwezie hapo fresh tu oa. Ila nakupa warning, usiingie mazima mazima utapigwa na kitu kizitoo. Mimi naishi Kondoa (Kilimani) ila sio mzawa wa kondoa.
Duhhh mm mmeru
kwann wao kwa wao?ebu nielezee apa mkuu
 
Duhhh mm mmeru
kwann wao kwa wao?ebu nielezee apa mkuu
Kuna Jamaa katoka Tabora, kajaa Kondoa huku, kasahau kabisa Familia yake, kadata na Mrangi, Mrangi mwenyewe ni Shangazi ana Mme wake huko Dar Es Saalam.

Mshahara wa Mhuni ukitoka tu, mtaa mzima unajua kuwa mhuni kapata mshahara. Mhuni atazehekea Kondoa hajafanya cha Maana, saizi anazaidi ya miaka 35.
 
Umepatikana, lazima Me tukuombe picha au namba za simu kuthibitisha uzuri wa huyo Ke.
 
Tatizo limeanzia hapo kwenye mmeru tok lini mmeru akajua mapenzi ukute dem gogo ila umepagawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…