hahaha fundi bishoo we sio ntu mjurimuoe kabisa 🤣🤣 wahuni tujilie
tena mama ntilie lazima atugawie wote chakula
Duuuh hongera sana, pia Pole sana, Wa rangi wanafaa kuoana wao kwa wao, kama wewe ni mrangi mwezie hapo fresh tu oa. Ila nakupa warning, usiingie mazima mazima utapigwa na kitu kizitoo. Mimi naishi Kondoa (Kilimani) ila sio mzawa wa kondoa.Kazi zangu za tofar
zimenikutanisha na mtoto
wa kirangi mama ntilie.
Huyu mtoto nashindwa
kutambua ameniroga au
ni michezo brand new anayonipa,
sisikii. nikiwa naye simu
naweka mbali naiona disturbance
mtoto mtukutu kama wacheza rugby
hakubali kushindwa. mimi ndio
nafundishwa mapenzi. ubedui wa kimeru wote kwapuni nimetekwa nikatekeka. uku darisalama kwel sio kuzuri. nitaeleza nn familia yangu wanajua mtoto wao napambana kumbe nimeshikiliwa mateka na mtoto wa kiislam wa kirangi
napoelekea hata dini nitabadili.
kumbe mapenzi yameanzia kondoa na sio tanga nimekuja kugundua.
Utagongewa sana kitaa. Hao tunachapa na kusepaKazi zangu za tofar
zimenikutanisha na mtoto
wa kirangi mama ntilie.
Huyu mtoto nashindwa
kutambua ameniroga au
ni michezo brand new anayonipa,
sisikii. nikiwa naye simu
naweka mbali naiona disturbance
mtoto mtukutu kama wacheza rugby
hakubali kushindwa. mimi ndio
nafundishwa mapenzi. ubedui wa kimeru wote kwapuni nimetekwa nikatekeka. uku darisalama kwel sio kuzuri. nitaeleza nn familia yangu wanajua mtoto wao napambana kumbe nimeshikiliwa mateka na mtoto wa kiislam wa kirangi
napoelekea hata dini nitabadili.
kumbe mapenzi yameanzia kondoa na sio tanga nimekuja kugundua.
Duhhh mm mmeruDuuuh hongera sana, pia Pole sana, Wa rangi wanafaa kuoana wao kwa wao, kama wewe ni mrangi mwezie hapo fresh tu oa. Ila nakupa warning, usiingie mazima mazima utapigwa na kitu kizitoo. Mimi naishi Kondoa (Kilimani) ila sio mzawa wa kondoa.
Acha kabisa mr carasco ana michezo ya rugby..utundu wa kijambaziAloooo miuno kama yote
Ila ajue kabisa kama anaenda kuoa mtu mchoyo. Warangi wachoyo sanamuoe kabisa 🤣🤣 wahuni tujilie
tena mama ntilie lazima atugawie wote chakula
Kuna Jamaa katoka Tabora, kajaa Kondoa huku, kasahau kabisa Familia yake, kadata na Mrangi, Mrangi mwenyewe ni Shangazi ana Mme wake huko Dar Es Saalam.Duhhh mm mmeru
kwann wao kwa wao?ebu nielezee apa mkuu
Umepatikana, lazima Me tukuombe picha au namba za simu kuthibitisha uzuri wa huyo Ke.Kazi zangu za tofar
zimenikutanisha na mtoto
wa kirangi mama ntilie.
Huyu mtoto nashindwa
kutambua ameniroga au
ni michezo brand new anayonipa,
sisikii. nikiwa naye simu
naweka mbali naiona disturbance
mtoto mtukutu kama wacheza rugby
hakubali kushindwa. mimi ndio
nafundishwa mapenzi. ubedui wa kimeru wote kwapuni nimetekwa nikatekeka. uku darisalama kwel sio kuzuri. nitaeleza nn familia yangu wanajua mtoto wao napambana kumbe nimeshikiliwa mateka na mtoto wa kiislam wa kirangi
napoelekea hata dini nitabadili.
kumbe mapenzi yameanzia kondoa na sio tanga nimekuja kugundua.
Tatizo limeanzia hapo kwenye mmeru tok lini mmeru akajua mapenzi ukute dem gogo ila umepagawaKazi zangu za tofar
zimenikutanisha na mtoto
wa kirangi mama ntilie.
Huyu mtoto nashindwa
kutambua ameniroga au
ni michezo brand new anayonipa,
sisikii. nikiwa naye simu
naweka mbali naiona disturbance
mtoto mtukutu kama wacheza rugby
hakubali kushindwa. mimi ndio
nafundishwa mapenzi. ubedui wa kimeru wote kwapuni nimetekwa nikatekeka. uku darisalama kwel sio kuzuri. nitaeleza nn familia yangu wanajua mtoto wao napambana kumbe nimeshikiliwa mateka na mtoto wa kiislam wa kirangi
napoelekea hata dini nitabadili.
kumbe mapenzi yameanzia kondoa na sio tanga nimekuja kugundua.
Tatizo limeanzia hapo kwenye mmeru tok lini mmeru akajua mapenzi ukute dem
Ukitaka kuoa, Jaribu kutembelea Mkoa wa Njombe (Wabena au Wakinga).Duhhh mm mmeru
kwann wao kwa wao?ebu nielezee apa mkuu
apana mkuu sina ugeni na watoto mafundiTatizo limeanzia hapo kwenye mmeru tok lini mmeru akajua mapenzi ukute dem gogo ila umepagawa
yaani hawa wachoyo hatrii kumpa mtu wanaona kama watakufa wakimpa mtuIla ajue kabisa kama anaenda kuoa mtu mchoyo. Warangi wachoyo sana
🤣🤣 amna mkuu namkumbusha yu kizuri ale nduguyehahaha fundi bishoo we sio ntu mjuri