Mwesigwa-katibu mkuu tff

Haya yameanza yale mambo ya Bukoba kwetu, inatia mashaka kweli kutakuwa na maendeleo ya soka mhh!!! TFF. Tenga aliona mbali
 
Naona kuna walakini kidogo hapa:

Rais Malinzi: Yanga damu & haya damu
Katibu Mwesigwa: Yanga damu & haya damu
Mwenyekiti kamati ya ufundi: Yanga damu & haya damu

Labda ni coincidence tu.....

Mkuu KweliTupu..hii kazi ilitangazwa, na watu wakaomba na walokuwa shortlisted walihitwa interview, BTW hii habari sio rasmi maana TFF haijatangaza safu yake mpya..
 
Kwanini akili inatupeleka kwenye ukabila badala ya kuuliza wasifu?

TFF ina kanuni zikivunjwa ndio tulalamike.
 
Naona sasa mjadala unatoka kwenye watu wa mpira na wasio wa mpira au wanamtandao unahamia kwenye ukabila

Malinzi anapaswa kuwa makini na hili maana naona kama kunaanza kuwa na ka mwelekeo ka kulazimisha watu wajadili ukabila badala ya mpira.
 
Kama ccm chama cha mizigo automatically Yanga nayo ni ya miziko na kwa kuwa yanga ndo wako tff tutegemee chama cha msoka mzigo kama natani matter of time will tell us ukishaona mwenyekiti na katiba yanga na kama ulimwangalia Rais tff uso haukufurahi wakati simba 3 Okwi 1 ujue tff ni chama cha mizigo
 


unamaanisha kwenye ile mechi ya mtani jembe iliyokuwa kati ya simba vs simba veteran?
 
uhaya umeanza,huyu raisi vipi?mwenyekiti mhaya,katibu mhaya,iweeee,no nyamahangas
 

Ni Celestine Mwesigwa ambaye amewahi kuongoza Yanga kipindi cha nyuma akiwa pia kama katibu mkuu
 
Asilete tu mahaba yake na timu yao ya waokota vizibo.
 
Kwanini akili inatupeleka kwenye ukabila badala ya kuuliza wasifu?

TFF ina kanuni zikivunjwa ndio tulalamike.

yaani sera za ccm zimevuga kila kila yaani tabu sana mkuu hata kwa mambo ambayo udini hauna nafasi watu wanatafutiza hadi wapate pa kuanzishia udini.
 
Kwanini akili inatupeleka kwenye ukabila badala ya kuuliza wasifu?

TFF ina kanuni zikivunjwa ndio tulalamike.

unaweza kua bosi sehem,mfano tuseme mjaluo,ukawateua watu wote wa chini yako kwa vigezo vyao vya elim kwa mfano,mwisho wa siku mko mia ofcn wote wajaluo ila mna sifa za hyo kaz,kikanuni mko sawa ila lazma watu watahoji iweje muwe wote wajaluo.
 
Soka letu ndio linaingia kaburini rasmi.
 
Yerewiiiiiiiiiii. Hapo ndipo nawapendaga nshomile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…