Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani kwenye account yako imeandika taree ngapi?Kuna habari zinasambaa kuwa interview ya tabibu daraja la II (Clinical Officers ) imehairishwa mpaka Ijumaa tarehe 13/9/2024.
Mwenye uhakika na tarifa hiyo atusaidie with evidence.
Kwani kwenye account yako imeandika taree ngapi?
Ni kwenye magroup yao mtu ametuma (for your information mimi siyo mtahiniwa, kuna kijana /mjukuu wangu, mimi nilimaliza kusoma 1986 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 )Kwani kwenye account yako imeandika taree ngapi?
Mbona unahangaika. Ingia kwenye tovuti ya utumishi utaona taarifa rasmi. Badala ya trh 11 wamepeleka mbele mpaka trh 13. Jifunze kufuatilia taarifa kutoka kwenye vyanzo rasmi mkuu.Kuna habari zinasambaa kuwa interview ya tabibu daraja la II (Clinical Officers ) imehairishwa mpaka Ijumaa tarehe 13/9/2024.
Mwenye uhakika na tarifa hiyo atusaidie with evidence.
Wabongo Bhana 😂 ety kwenye magroupNi kwenye magroup yao mtu ametuma (for your information mimi siyo mtahiniwa, kuna kijana /mjukuu wangu, mimi nilimaliza kusoma 1986 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 )
Sasa mjukuu wako anashindwa kuzama chumvini mwa akaunti yake kupekenyua taarifa rasmi ya kusogezwa kwa usaili wa oral wa KADA yake?.Ni kwenye magroup yao mtu ametuma (for your information mimi siyo mtahiniwa, kuna kijana /mjukuu wangu, mimi nilimaliza kusoma 1986 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 )
Hao ndo wale wanaenda usaili wanakutana na maswali ya o-Level wanakuja kulialia hapa 😂Sasa mjukuu wako anashindwa kuzama chumvini mwa akaunti yake kupekenyua taarifa rasmi ya kusogezwa kwa usaili wa oral wa KADA yake?.
wewe unamchekea TU adi muda huu nilitarajia kuona breaking news huko kwa Ayo tv amng'oa meno mjukuu wake kwa kukosa taarifa sahii juu ya ufanywaji wa usaili wa kazi za afya zilizotangazwa na utumishi.
Mtwange huyo usicheke naw watoto wa buku2 wanamapuuza sana
Nimesema several times kama post huipendi, pita au block rather than making a mockery of me with abusive language! kama huwezi kujibu , pita kuliko majibu ya kishenzi kama haya! Sishindwi kukupa neno baya usipate usingizi. Nitakurudia baadaye!Sasa mjukuu wako anashindwa kuzama chumvini mwa akaunti yake kupekenyua taarifa rasmi ya kusogezwa kwa usaili wa oral wa KADA yake?.
wewe unamchekea TU adi muda huu nilitarajia kuona breaking news huko kwa Ayo tv amng'oa meno mjukuu wake kwa kukosa taarifa sahii juu ya ufanywaji wa usaili wa kazi za afya zilizotangazwa na utumishi.
Mtwange huyo usicheke naw watoto wa buku2 wanamapuuza sana
Nitakujibu ushenzi usilalamike!Hao ndo wale wanaenda usaili wanakutana na maswali ya o-Level wanakuja kulialia hapa 😂
Povuuuuuu 😂Nitakujibu ushenzi usilalamike!
Mbona sioni niwekee link if you can do that pleaseMbona unahangaika. Ingia kwenye tovuti ya utumishi utaona taarifa rasmi. Badala ya trh 11 wamepeleka mbele mpaka trh 13. Jifunze kufuatilia taarifa kutoka kwenye vyanzo rasmi mkuu.
ndio Babu imehairishwa hadi ijumaa mambo yamelikiNi kwenye magroup yao mtu ametuma (for your information mimi siyo mtahiniwa, kuna kijana /mjukuu wangu, mimi nilimaliza kusoma 1986 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 )
Umeambiwa uingie web ya utumishi afu tena unataka link 😂Mbona sioni niwekee link if you can do that please
nitakutukana sasaUmeambiwa uingie web ya utumishi afu tena unataka link 😂
Au nikutumie link mana nakuona ww n mvivu sana mkuu 😂nitakutukana sasa
Imeahirishwaimehairishwa mpaka Ijum
Akuna neno jipya baya juu yangu ambalo sijawai sikia aisee.Nimesema several times kama post huipendi, pita au block rather than making a mockery of me with abusive language! kama huwezi kujibu , pita kuliko majibu ya kishenzi kama haya! Sishindwi kukupa neno baya usipate usingizi. Nitakurudia baadaye!
Jamaa ana mikwara utadhani kuna tusi jipya anataka kulizindua.Akuna neno jipya baya juu yangu ambalo sijawai sikia aisee.
Karibu toa TU Hilo neno