Mbona zimejaa sana mkuu. We uza chipsi tu. Achana na kazi za kuaniriwa utakufa maskiniNimezunguka mitaani pesa imeadimika kabisa kuna nini. Maisha ni magumu ajabu,biashara zimerudi nyuma. Mwezi wa saba ya Mwaka huu tuna fail wapi. tuambizane.
Unataka kufanya biashara gani bwashemeji mana umekaa sana hapa nyumbani kwangu.Humu kila mtu ni Tajiri, kwahyo usitusumbue na maswali yako ya kimaskini.
NAONGEA MANENO HAYO NIKIWA NAISHI KWA SHEMEJI (MUME WA SISTA ANGU).
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Aaaaaah mwanangu umeona mbali saivi kugumu jua linawakia mifukoni tu Maisha yamekua hayana fair kwani nyie wapi mnatoa izo hela mtwambie tuNimezunguka mitaani pesa imeadimika kabisa kuna nini. Maisha ni magumu ajabu, biashara zimerudi nyuma. Mwezi wa saba ya Mwaka huu tuna fail wapi. Tuambizane.
Adaaaaa ππππ
Ooh!! Kumbe...Adaaaaa ππππ
Ndoivo loOoh!! Kumbe...