Hajaongea lakini matendo yake yanaongeaView attachment 3243725
Baada ya kushindwa uchaguzi Freeman Mbowe hajaongea lolote. Akina Lissu na timu yake walitumia nguvu nyingi kumbomoa ili washinde uchaguzi kwa hila. Kumbe walikuwa hawana mkakati wa kukiongoza chama. Sasa wanakanyagana kumtukana Mwenyekiti mstaafu.
View: https://x.com/RehemaNM2/status/1892372722044354860?t=zfgUxlMMl_74CNtBaswz-w&s=19
Huyu mzee na yule Mrema ni wakufukuza kwenye chama kabisaMbowe ni kirusi ndani ya siasa za upinzani
Wewe unahisi yupo kmya? π€£π€£π€£View attachment 3243725
Baada ya kushindwa uchaguzi Freeman Mbowe hajaongea lolote. Akina Lissu na timu yake walitumia nguvu nyingi kumbomoa ili washinde uchaguzi kwa hila. Kumbe walikuwa hawana mkakati wa kukiongoza chama. Sasa wanakanyagana kumtukana Mwenyekiti mstaafu.
View: https://x.com/RehemaNM2/status/1892372722044354860?t=zfgUxlMMl_74CNtBaswz-w&s=19
Anawatumia wakina Ansbert Ngurumo kutaka kudestabilize Chadema!!Wewe unahisi yupo kmya? π€£π€£π€£
Mze anavivuli vingi sanaa yaani βοΈβοΈAnawatumia wakina Ansbert Ngurumo kutaka kudestabilize Chadema!!
Kwenye Mfumo πWewe umemsikia wapi?
Lissu amepwaya mara tu baada ya kuingia madarakani