Mwezi wa 10 nataka kupanda ndege nakuja Dar. Naombeni ramanI ya kutoka uwanja wa Nyerere hadi Mbezi

Mwezi wa 10 nataka kupanda ndege nakuja Dar. Naombeni ramanI ya kutoka uwanja wa Nyerere hadi Mbezi

MrWings

Senior Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
155
Reaction score
335
Wakuu za jioni.

Mwenzenu nataka kujipongeza (Kwa jinsi mambo yanavyoenda kadri nilivyotarjia) Kwa kupanda ndege kutok mbeya Hadi Dar via Precision air maana hizo zingine nimeon gharama sana.

Sasa nikifika uwanja wa nyie napita wapi na wapi hadi kufika mbezi?
 
Back
Top Bottom