Wakuu za jioni.
Mwenzenu nataka kujipongeza (Kwa jinsi mambo yanavyoenda kadri nilivyotarjia) Kwa kupanda ndege kutok mbeya Hadi Dar via Precision air maana hizo zingine nimeon gharama sana.
Sasa nikifika uwanja wa nyie napita wapi na wapi hadi kufika mbezi?