- Thread starter
- #21
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2956]haya buana poa nawewe utaitwa skeleton au MaitiWe chibonge punguza kulakula hovyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2956]haya buana poa nawewe utaitwa skeleton au MaitiWe chibonge punguza kulakula hovyo
Jitahidi uwe na peace of mind mambo mengi uyapuuzia na uwe na wakiki wa basic needs nchi maisha yako sio kuiga watu, utapata huo mwili unao tamani.mimi naomba siku niwe na over 75kg....[emoji15][emoji15][emoji15]...
Tengeneza matukio yatakoyo kuletea stress, (changamoto), haya yako mengi sanaKama nilio anza juhudi zangu za kupunguza uzito, huu ni mwezi wapili kwa kutumia mfumo ule ule wa kula mlo moja mboga za majani sana na kuepuka vyakula vyenye wanga sana kama chapati ugali na chapati. Mwezi wa kwanza matokeo yali patikana kwa kupungua 8kg.
Kwa kuendelea na utaratibu huo huo mwezi wa pili nimepima leo matokeo ni kwamba ni mepungua 0.5kg nusu kg tatizo ni nini? Mwili umezoea huo mfumo kuna haja ya kubadili diet au mfumo na mda wa kula?
Target yangu ni kumpungua 20kg ndani ya mwezi mitatu ila naona mwezi wa pili nimepunguza nusu kilo tu, na bado nimebakiza mwezi moja. Kila ninapoweka juhudi za kupungua uzito, ndio naongezeka!
Kwaio anywe maji ya moto kama chai amaKinywa maji yam moto, yachemshe kama ya chai lakini usitie kitu, maji tu.
Kabla hujala kitu hakikisha unapata lita moja, kianzia hapo mpaka inapofika saaza chakula cha mchana, hakikisha umeshapiga lita nyingine moja. Baadaya chakula cha mchana piga lita mpoja. Baada ya chakula cha usiku, kabla hujalala hakikisha lita nyingine moja.
Usinywe tena maji ya baribi, fanya maji ya moto ndiyo maji yako. Utakojowa kwa wingi na unene utakutoka tu, na maradhi mengine yoyote yataondoka. Inaitwa "hot water therapy".
What's your total present kg?Nipo Kwa hii safari pia japo mwili wangu sio mbaya ila nahitaji kupunguza kiasi..... Niliacha kunywa chai na mchana kutoa kula (ni kama fasting mode flani) japo baadhi ya siku mchana nakula simple may be muhogo Moja au machungwa
Kwa mwezi sasa (japo usiku nakula bila kujinyima) nimekata kg 5...
Mwezi huu nataka kubadili Nile mchana as I wish na usiku nisile kabisaaaa
Note.... Mazoezi pia nafanya kama dk 30 Kwa siku
Any comment.
Kula vyakula vya wanga na mafuta asubuhi mchana jioni, kuwa sedentary muda mwingi . Miezi mitatu mpaka mitano booomNatafuta dawa ya kuongeza unene...msaada tafadhari....pole mtoa mada
Fanya intermittent fasting, anza na ya 16/8Nipo Kwa hii safari pia japo mwili wangu sio mbaya ila nahitaji kupunguza kiasi..... Niliacha kunywa chai na mchana kutoa kula (ni kama fasting mode flani) japo baadhi ya siku mchana nakula simple may be muhogo Moja au machungwa
Kwa mwezi sasa (japo usiku nakula bila kujinyima) nimekata kg 5...
Mwezi huu nataka kubadili Nile mchana as I wish na usiku nisile kabisaaaa
Note.... Mazoezi pia nafanya kama dk 30 Kwa siku
Any comment.
Fanya intermittent fasting, anza na ya 16/8
Hiyo iko je elezea zaidiFanya intermittent fasting, anza na ya 16/8
Kwani tuna ishi porini hatuna magari ya kukimbia wanyama?
Kuna watu husisitiza unywaji wa maji mengi. utasikia kunywa lita tano kwa siku. mi naona kitu sahihi ni kunywa maji kulingana na mahita ya mwili wako!Kwani maji pia yananenepesha? Naona umemwambia anywe kulingana na kiu yake.
Katika uzi wako umesema umeepuka vyakula vyenye wanga sana, ina maana vyenye wanga kidogo ulivitumia.Mbona ni metumia hivo hivo soma uzi wangu kwa makini kisha utowe maoni yako.
Mkuu wewe wajua vyakula visio kua na wanga kabisa unitajia ili niweze kuvitumie hivyo.Katika uzi wako umesema umeepuka vyakula vyenye wanga sana, ina maana vyenye wanga kidogo ulivitumia.
Mimi nasema acha kabisaaaaa matunda, mboga na vyakula na vya wanga mwingi na kidogo.
Ni kweli maji mengi pia kuharibu na kuchosha urine brander atimae unapata ugonjwa wa kibomvu cha mkojo, kunywa maji kulingana na mahitaji ya mwili wakoKuna watu husisitiza unywaji wa maji mengi. utasikia kunywa lita tano kwa siku. mi naona kitu sahihi ni kunywa maji kulingana na mahita ya mwili wako!
hebu nipe ratiba yako na vyakula ulivyokuwa unatumia kwa lengo la kupunguza uzitoMkuu wewe wajua vyakula visio kua na wanga kabisa unitajia ili niweze kuvitumie hivyo.
Mboga mboga gimbi matunda na mchemsho wa samaki au kuku.......kila siku mlo moja tu usiku saa mbili hapo vip?hebu nipe ratiba yako na vyakula ulivyokuwa unatumia kwa lengo la kupunguza uzito