JumaKilumbi JF-Expert Member Joined Sep 7, 2022 Posts 432 Reaction score 507 Mar 24, 2023 Thread starter #21 wangatala said: Umbali sahihi ni km ngapi asifunge? Click to expand... Umbali inategemea na usafiri unaotumia. Kuna tofauti baina ya wanazuoni, wapo wanaosema ni 80-83km, na wengine wanasema ni umbali wowote ambao watu wa sehemu husika huchukulia kama safari.
wangatala said: Umbali sahihi ni km ngapi asifunge? Click to expand... Umbali inategemea na usafiri unaotumia. Kuna tofauti baina ya wanazuoni, wapo wanaosema ni 80-83km, na wengine wanasema ni umbali wowote ambao watu wa sehemu husika huchukulia kama safari.
Prince Luanda JF-Expert Member Joined Oct 17, 2016 Posts 2,255 Reaction score 2,825 Mar 24, 2023 #22 zonda said: Kufunga ni Ibada Kama kuswali,si adhabu Click to expand... Sasa alipize ili iwaje? Hiyo hedhi kajisababishia mwenyewe?
zonda said: Kufunga ni Ibada Kama kuswali,si adhabu Click to expand... Sasa alipize ili iwaje? Hiyo hedhi kajisababishia mwenyewe?
professional Driver JF-Expert Member Joined Sep 23, 2022 Posts 2,959 Reaction score 3,510 Mar 24, 2023 #23 Prince Luanda said: Sasa alipize ili iwaje? Hiyo hedhi kajisababishia mwenyewe? Click to expand... Itifaki izingatiwe kiongozi Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Prince Luanda said: Sasa alipize ili iwaje? Hiyo hedhi kajisababishia mwenyewe? Click to expand... Itifaki izingatiwe kiongozi Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Z zonda JF-Expert Member Joined Jan 19, 2023 Posts 2,214 Reaction score 2,713 Mar 24, 2023 #24 Prince Luanda said: Sasa alipize ili iwaje? Hiyo hedhi kajisababishia mwenyewe? Click to expand... Una shida gani!?
Prince Luanda said: Sasa alipize ili iwaje? Hiyo hedhi kajisababishia mwenyewe? Click to expand... Una shida gani!?
Z zonda JF-Expert Member Joined Jan 19, 2023 Posts 2,214 Reaction score 2,713 Mar 24, 2023 #25 Prince Luanda said: Sasa alipize ili iwaje? Hiyo hedhi kajisababishia mwenyewe? Click to expand... Mwenye ugonjwa usiopona anatakiwa kulisha masikini kila siku mpaka mwezi uishe...ni Ibada ambayo sharti kila muislam imguse
Prince Luanda said: Sasa alipize ili iwaje? Hiyo hedhi kajisababishia mwenyewe? Click to expand... Mwenye ugonjwa usiopona anatakiwa kulisha masikini kila siku mpaka mwezi uishe...ni Ibada ambayo sharti kila muislam imguse
Prince Luanda JF-Expert Member Joined Oct 17, 2016 Posts 2,255 Reaction score 2,825 Mar 24, 2023 #26 zonda said: Mwenye ugonjwa usiopona anatakiwa kulisha masikini kila siku mpaka mwezi uishe...ni Ibada ambayo sharti kila muislam imguse Click to expand... Kwahiyo wanaumwa matajiri tu?
zonda said: Mwenye ugonjwa usiopona anatakiwa kulisha masikini kila siku mpaka mwezi uishe...ni Ibada ambayo sharti kila muislam imguse Click to expand... Kwahiyo wanaumwa matajiri tu?
S simakoku JF-Expert Member Joined Oct 17, 2012 Posts 537 Reaction score 586 Mar 24, 2023 #27 Mh, imani nyingine ni ngumu kuzielewa.