Mwezi wa tisa nahamia rasmi Dar

Njoo Big Stone mkuu mm ntakuwa mwenyeji wako. Ila kama ww ni mlevi bas ntaondoa ubalozi wangu kwako maana huwa sipend rafiki mlevi
Mkuu katika kitu ambacho hakipo akilini mwangu ni ulevi na uvutaji wa sigara.
 
Last edited:
Mkuu asante kuna baadhi ya vitu nimejifunza hasa kwa upande wa kuvuka kwa fiber... Kifo kipo popote lakini ikitokea tumezama ntajitahidi kujljikuna nnapojipata mpaka utakapokuja msaada maana mimi sipo jiwe ila sina mazoezi sana niliacha kitambo kuogelea.

Kwa upande wa upigaji picha kwenye pantoni hilo nalijua maana nilishavuka sana. Pamoja na yote kuna mengi hapa mkuu nimekusoma vizuri tupo pamoja.
 
Umepangiwa kituo gani cha polisi?
Mkuu, karibu sana huku Uwanja wa Swala Kigamboni.
 
Hahahhaha tulikua geto pipo 5 tunachat na smart kigambon maeneo ya big brother aloo kushtuka saa 10 wote tupo hoi atuna cm wala laptop ata moja na nyumb ilikua na ukuta by the way upande wa dirishan kulikua na njia it’s ws 2015 karb kigambon[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
48% ya wakazi wa Kigamboni ni majini
 
Kaka sasa utaogeleaje huku meli inakuvuta?
 
Karibu kwny ulingo wa visu bisibisi na mapanga
Jitahidi kuwahi kurudi kabla ya saa 5 usiku
Usiwaamini bodaboda usiku pindi uwapo barabarani peke ako hasa ukiwa na kamzigo kenye kuashiria thamani mgongoni(begi lenye laptop n.k)
Jitahid kufunga geti au mlango wako mida ya usiku(hapa unajihadhari na ambush) kwa baadhi ya maeneo
Maji ya bomba ya huku yanatofautian sana na maji ya bomba ya posta na maeneo jirani
Uvumilie purukushani za SUMA JKT kwny kufungiwa geti ukiwa unawahi panton
Karibu Kigambon
 
Hahahaha... Kwenye kufungiwa get I na suma jkt nishazowea kipindi naenda kutembea. Ila shukrani kuna mambo mengi nitakua na tahadhari nayo.. Mimi kawaida nikifika pale nakua na mtu wangu maalum wa boda boda hata saa saba za usiku namuita na anakuja kunipeleka ntakapo.
 
Kuna siku pantoni litazingua kama utaamua kupanda fiber/ vimtumbwi jiridhishe kua hakuna meli inayoingia au kutoka. Walikufa watu zaidi ya 5 siku hiyo na haikutangazwa popote.
hapa sign ya kujua meli inayotoka pale bandarini ni honi ila sign ya meli kuingia bandarini siijui
 
hapa sign ya kujua meli inayotoka pale bandarini ni honi ila sign ya meli kuingia bandarini siijui
Hua tag boat inaranda randa katikati pale ili kuzuia pantoni isipite.
 
Hakikisha mkeo kama hujamdunga mimba baai kamilisha hilo zoezi huko na kama unae na bado wa makamo, nenda kaage kwa wazee afanyiwe tambiko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…