Yeah, kisha kalikua kana tabia ya kujificha chini ya stage ya mielekaHaka kajamaa ndo kale kalikuwa kanaingia na yule mzee mwenye kirungu?
RIP
RIP Stevie! Nitakukumbuka daima! Wooooooooooo!!Mwigizaji Stevie Lee ambae alinogesha sana filamu za Jackass 3D na Death Match amefariki Dunia akiwa na umri wa miaka 54.
Stevie Lee ambaye pia ni Mwanamieleka Los Angeles Marekani amefariki baada ya kuugua maradhi ya moyo, ameacha Mke na Watoto.
#RIPStevie[emoji1374]View attachment 1567509
Haka kajamaa ndo kale kalikuwa kanaingia na yule mzee mwenye kirungu?
RIP
Yule ni Dylan aka HornswoggleYeah, kisha kalikua kana tabia ya kujificha chini ya stage ya mieleka
Wacheza mieleka wengi wanakufa kwa ugonjwa wa moyoMwigizaji Stevie Lee ambae alinogesha sana filamu za Jackass 3D na Death Match amefariki Dunia akiwa na umri wa miaka 54.
Stevie Lee ambaye pia ni Mwanamieleka Los Angeles Marekani amefariki baada ya kuugua maradhi ya moyo, ameacha Mke na Watoto.
#RIPStevie[emoji1374]View attachment 1567509
Wanatumia yale maPEDWacheza mieleka wengi wanakufa kwa ugonjwa wa moyo
Nadhani madawa yao yale wanayokulaga ndo husumbuaga baadaeWacheza mieleka wengi wanakufa kwa ugonjwa wa moyo
Ndio mwenyewe.Haka kajamaa ndo kale kalikuwa kanaingia na yule mzee mwenye kirungu?
RIP
R..i.p UmagaWacheza mieleka wengi wanakufa kwa ugonjwa wa moyo
Wengne wanakufaga usingizin madawa wanayotumia ni mengiiWacheza mieleka wengi wanakufa kwa ugonjwa wa moyo