Mwigizaji Stevie Lee Afariki Dunia

Mwigizaji Stevie Lee Afariki Dunia

Chibudee

JF-Expert Member
Joined
Dec 28, 2016
Posts
1,775
Reaction score
2,404
Mwigizaji Stevie Lee ambae alinogesha sana filamu za Jackass 3D na Death Match amefariki Dunia akiwa na umri wa miaka 54.

Stevie Lee ambaye pia ni Mwanamieleka Los Angeles Marekani amefariki baada ya kuugua maradhi ya moyo, ameacha Mke na Watoto.
#RIPStevie[emoji1374]
millardayo-20200912-0001.jpg
 
Mwigizaji Stevie Lee ambae alinogesha sana filamu za Jackass 3D na Death Match amefariki Dunia akiwa na umri wa miaka 54.

Stevie Lee ambaye pia ni Mwanamieleka Los Angeles Marekani amefariki baada ya kuugua maradhi ya moyo, ameacha Mke na Watoto.
#RIPStevie[emoji1374]View attachment 1567509
RIP Stevie! Nitakukumbuka daima! Wooooooooooo!!
 
Mwigizaji Stevie Lee ambae alinogesha sana filamu za Jackass 3D na Death Match amefariki Dunia akiwa na umri wa miaka 54.

Stevie Lee ambaye pia ni Mwanamieleka Los Angeles Marekani amefariki baada ya kuugua maradhi ya moyo, ameacha Mke na Watoto.
#RIPStevie[emoji1374]View attachment 1567509
Wacheza mieleka wengi wanakufa kwa ugonjwa wa moyo
 
Back
Top Bottom