Mwigizaji wa Ghana aliyepiga picha za utupu na mtoto wake, aomba radhi

Leo asubuhi huko Facebook kuna dada simfahamu kabisa, kanifuata na maneno matamu mpaka nikashangaa. Mwisho akaniomba nimtumie picha ya Abdallah Kichwa Wazi. Na mimi bila kufikiria nikazifotoa kama nne hivi, nikazituma zote. Hivi sasa hapa nilipo najiuliza, sijui nimekwama wapi?
 
bora huyu kawa muwazi kwenye jamii kuhusu ujinga wake. kuna wengine wako humu na watamponda lakini wanaoga na vimbwa vya kizungu
 
Wanamsingizia tu!!! hebu nitumie hiyo picha tafadhali
 
Hajakupa majibu?[emoji849][emoji849]
 
Kuna umuhimu wanaume tuwe makini sana na aina ya wanawake tunaowazalisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…