screpa
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 10,857
- 15,866
Pambafu++Alikuwa nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pambafu++Alikuwa nani?
Mbona simkumbuki,isidingo ameigiza part can?,,,,RipMwigizaji Isidingo,Scandal,Little One, EHostela, Winnie Mandela, na Safari
🤣 🤣 🤣 🤣Mwigizaji, pambafu!!
Ha Ha haNya.u ww hiyo kumbafu ni yako...
Yaani umenifanya niingie Instagram nim follow. Naamini yuko hai bado, nimetafuta taarifa zake sijaona wakiongelea kifo chake zaidi ya kuona walishamsingizia kifo mara kadhaaHivi Leleti khumalo (sarafina) bado yupo hai
Ni kweli mkuu,mwenyewe niliwahi kuona fake news kwamba amefariki lakini baadae ikatoka taarifa ya kukanusha so inawezekana ni sahihi yu haiYaani umenifanya niingie Instagram nim follow. Naamini yuko hai bado, nimetafuta taarifa zake sijaona wakiongelea kifo chake zaidi ya kuona walishamsingizia kifo mara kadhaa
Hujaiona?
Oooh nimemkumbukaKwenye isidingo alicheza kama mpelelezi kwa jina la Tini ...
Akauliwa na NIna
RIP
Alicheza vizuri sijui kwanini alipewa kipande kidogoOooh nimemkumbuka
Papa d = papa GMimi waigizaji wa isidingo ninao wsfahamu ni
1.Derrick Nyati
2.Mr. & Mr. Matabane
3. Papa D
4.Letii Mathabane
5.Paulsen Matabane
Sijui hata kwaniniAlicheza vizuri sijui kwanini alipewa kipande kidogo
Mwigizaji.Alikuwa nani?
Hivi huyu kwenye isidingo ndio aliuwawa na Nina zamdela baada ya kutumwa na kina majola kumpeleleza ??Kwenye Scandal alikua mpishi, mke wa dereva a mama wa watoto wawili.
Huyu ndio aliuwawa na Nina zamdela ktk isidingo baada ya kutumwa kumpeleleza ??Sio yule ni Agnes Matabane. Keketso Semoko.
Tini askari mpelelezi aliuwawa na Nina zamdelaKwenye isidingo alikuwa Nani?
Alikiwa akiitwa tini askari mpelelez alitumwa na kina majola kumpeleleza Nina wakamstukia akauwawaTo be honest huyu kwenye Isidingo nimeshindwa kabisa kumspot alikuwa akiigiza kama nani!?
ALikuwa Lindiwe, mwigizajiAlikuwa nani?