Mwigulu aendelea kukoswa koswa Bungeni, analindwa na nani?!

Mwigulu aendelea kukoswa koswa Bungeni, analindwa na nani?!

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001

Katika wizara yake ufisadi umeenea kuanzia juu mpaka chini. Waziri anajua hachukui hatua kwa sababu alihusishwa. Bunge linasema, Rais yupo kimya. Nani anamlinda zaidi ya Rais mwenyewe. Kama Rais anampenda zaidi basi amkabidhi biashara zake binafsi,huku kwetu hawezi
 
Kanisa Moja Takatifu la Mitume

Dr Mwigulu PhD alibarikiwa na Nabii TB Joshua
 

Katika wizara yake ufisadi umeenea kuanzia juu mpaka chini. Waziri anajua hachukui hatua kwa sababu alihusishwa. Bunge linasema, Rais yupo kimya. Nani anamlinda zaidi ya Rais mwenyewe. Kama Rais anampenda zaidi basi amkabidhi biashara zake binafsi,huku kwetu hawezi
Kuna Rais, wachawi na matajiri/mafisadi wote wanamlinda, same to Makamba, Ummy, Mbarawa, Masauni, Jafo, Nape n.k
 
Back
Top Bottom