OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Remote ipo MSOGA mbona mnakuwa wagumu kuelewa?View attachment 2631977View attachment 2631978
Katika wizara yake ufisadi umeenea kuanzia juu mpaka chini. Waziri anajua hachukui hatua kwa sababu alihusishwa. Bunge linasema, Rais yupo kimya. Nani anamlinda zaidi ya Rais mwenyewe. Kama Rais anampenda zaidi basi amkabidhi biashara zake binafsi,huku kwetu hawezi
Ila yeye ela ilikuwepo mtaani,Remote ipo MSOGA mbona mnakuwa wagumu kuelewa?
Anayemlinda january na nape ndiye huyo anayemlinda Madelu/Mwigulu. Baba wetu wa mbinguni au kuna mwingine?View attachment 2631977View attachment 2631978
Katika wizara yake ufisadi umeenea kuanzia juu mpaka chini. Waziri anajua hachukui hatua kwa sababu alihusishwa. Bunge linasema, Rais yupo kimya. Nani anamlinda zaidi ya Rais mwenyewe. Kama Rais anampenda zaidi basi amkabidhi biashara zake binafsi,huku kwetu hawezi
Ukiona Kobe juu ya mti jua kapandishwaView attachment 2631977View attachment 2631978
Katika wizara yake ufisadi umeenea kuanzia juu mpaka chini. Waziri anajua hachukui hatua kwa sababu alihusishwa. Bunge linasema, Rais yupo kimya. Nani anamlinda zaidi ya Rais mwenyewe. Kama Rais anampenda zaidi basi amkabidhi biashara zake binafsi,huku kwetu hawezi
Hii kauli huwa ni moja ya propaganda iliyotukuka.Ila yeye ela ilikuwepo mtaani,
Kwann mkuuHii kauli huwa ni moja ya propaganda iliyotukuka.
Kuna Rais, wachawi na matajiri/mafisadi wote wanamlinda, same to Makamba, Ummy, Mbarawa, Masauni, Jafo, Nape n.k
Katika wizara yake ufisadi umeenea kuanzia juu mpaka chini. Waziri anajua hachukui hatua kwa sababu alihusishwa. Bunge linasema, Rais yupo kimya. Nani anamlinda zaidi ya Rais mwenyewe. Kama Rais anampenda zaidi basi amkabidhi biashara zake binafsi,huku kwetu hawezi