Addict
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 702
- 485
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh hatareeeee....kwa hio no antenna?
No katerero hapo aisee
Katika hali sintofahamu mwigulu anawatisha madiwani wa halmashauri ya iramba ambao wamekwisha azimia kumvua ukurugenzi Bi Halima Mpita kutokana na kufanya ufisadi wa milioni 800 toka ahamie iramba na milion 200 alizopora ktk mradi wa maji na pia anatimua na kuwahamisha watumishi wasiounga mkono wizi wake
Madiwani wamemkataa mkurugenzi huyo wiki iliyopita lakini wamepokea vitisho kutoka Mwigulu akiwataka wasimfukuze mkurugenzi huyo
Tayari Mwigulu amemtuma mkuu wa mkoa Kone ili azime jambo hili leo na tayari anatarajia kuwatisha wajumbe wa kamati ya siasa ya wilaya ya ccm ambao tayar wanaunga mkono maazimio ya madiwani.
Hii ndio sura halisi ya anaejiita SOKOINE WA PILI hahahahaha...
Wanairamba sasa tunajuta kumfahamu Mwigulu Nchemba
Wenu: Nkerejiwa-Mjumbe kamati ya siasa ccm Iramba
Jamaa anatafuta mpunga kwa hali na mali ,helkopta co ya bure no free lunch in America !
Aisee!Huyo ndie sokoine wenu. Haya mwaka tutashuhudia mengi
enzi za sokoine wahujumu uchumi walikuwa wanazitupa baharini na kuzitelekeza, sasa huyu fisadi wa majina ya wazalendo anapiga blah blah eti wanaescrow walipe kodi siku 30, kumbe ilikuwa janja ya kupewa helicopta ya mikutano!
Pole ndipo anapopiga pesa kwa ajili ya UCHAGUZI 2015......................