The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,282
- 117,244
Naomba kueleweshwa....kuna kitu sijakielewa kabisa
Nilikua najua kuwa Manji ndo mwenye final say Yanga
na ni Manji alipoona kocha Hans kama hamridhishi akaanza kutafuta kocha mwingine
akampata mzambia...kabla mzambia haja saini Hans akaona kama
amedhalilishwa akaamua kujiuzulu
na Manji akaridhia yote hayo....na manji ndo anaelipa mshahara wa kocha huko Yanga
sasa tena nasikia Mwigulu 'kamrudisha Hans' Yanga...
nimebaki na maswali.....sasa mshahara atatoa yeye Mwigulu?
na Manji je? hana tena maamuzi huko Yanga?
au kuna mtu kaelewa?
Nilikua najua kuwa Manji ndo mwenye final say Yanga
na ni Manji alipoona kocha Hans kama hamridhishi akaanza kutafuta kocha mwingine
akampata mzambia...kabla mzambia haja saini Hans akaona kama
amedhalilishwa akaamua kujiuzulu
na Manji akaridhia yote hayo....na manji ndo anaelipa mshahara wa kocha huko Yanga
sasa tena nasikia Mwigulu 'kamrudisha Hans' Yanga...
nimebaki na maswali.....sasa mshahara atatoa yeye Mwigulu?
na Manji je? hana tena maamuzi huko Yanga?
au kuna mtu kaelewa?