Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,984
January ana mipango mingi inayohitaji fedha, lakini mmiliki wa fedha Ni asimu wake ambaye ni Mwigulu Nchemba, pesa ikichelewa kuidhinishwa miradi inachelewa na miradi isipopitishwa hazina na wizarani just kwa technicalities Januari anafeli.
Kimuundo hizi Ni wizara mbili zinazojitegemea ambazo zinaripoti utendaji kazi wake kwa Rais. Endapo Januari akiona mambo yanakwama hazina itamlazimu amjulishe Mwenye nchi na akimjulisha inakuwa amezalisha mgogoro hata Kama watabaki kusalimiana au kuchekeana lakini moyoni watakuwa na lao Jambo.
Lakini upande wa pili Januari akiwa na malengo makubwa zaidi ya kiasi Cha fedha kilichopo upo uwezekano akakwama. Mfano awamu iliyopita miundombinu ilielekezewa fedha nyingi na hivyo miradi ya baadhi wizara kukwama.
Naandika haya nikiwakumbusha wananzengo kwamba hapa upo mgogoro usioonekana kwa macho Ila upo rohoni. January anatamani kufanya extra na akifanya extra Mama anapata sifa kwa sababu miradi ya Januari Ina athari kubwa kiuchumi na kijaamii, ili afanye extra lazima hazina watoe extra kumwezesha kufikia malengo, na hazina wakimpa extra means Waziri lazima alazimike kumega sehemu ambako kumega huko kunaweza kuwa na athari wizara nyingine au kukahitaji signature ya Mama.
Itakapohitajika signature ya Mama na kwa kuzingatia malengo ya wawili hawa kisiasa lazima pachimbike.Kumbuka wizara ya fedha haina impact kwenye jamii kwa maono ya nje maana hakuna mradi wanaosimamia.
Hapa ndipo unaboini mgawa fedha anatakiwa awe mtu asiye na malengo ya Urais au Mwenye roho ya bifu. Mgawa fedha anapaswa awe mtu neutral ikiwezekana anayepokea shkamoo kutoka kwa wanasiasa wenye tamaa ya Urais.
Tunataka kwenda mbele lakini hatutaki kusoma alama za nyakati, tunataka kwenda mbele tukiwa na safu inayotaka ionekane ndiyo ilitufikisha huko wakati principally Tulipaswa kwenda Kama timu. Tenzi fikirisha kutokea Kanyigo Bukoba
Kimuundo hizi Ni wizara mbili zinazojitegemea ambazo zinaripoti utendaji kazi wake kwa Rais. Endapo Januari akiona mambo yanakwama hazina itamlazimu amjulishe Mwenye nchi na akimjulisha inakuwa amezalisha mgogoro hata Kama watabaki kusalimiana au kuchekeana lakini moyoni watakuwa na lao Jambo.
Lakini upande wa pili Januari akiwa na malengo makubwa zaidi ya kiasi Cha fedha kilichopo upo uwezekano akakwama. Mfano awamu iliyopita miundombinu ilielekezewa fedha nyingi na hivyo miradi ya baadhi wizara kukwama.
Naandika haya nikiwakumbusha wananzengo kwamba hapa upo mgogoro usioonekana kwa macho Ila upo rohoni. January anatamani kufanya extra na akifanya extra Mama anapata sifa kwa sababu miradi ya Januari Ina athari kubwa kiuchumi na kijaamii, ili afanye extra lazima hazina watoe extra kumwezesha kufikia malengo, na hazina wakimpa extra means Waziri lazima alazimike kumega sehemu ambako kumega huko kunaweza kuwa na athari wizara nyingine au kukahitaji signature ya Mama.
Itakapohitajika signature ya Mama na kwa kuzingatia malengo ya wawili hawa kisiasa lazima pachimbike.Kumbuka wizara ya fedha haina impact kwenye jamii kwa maono ya nje maana hakuna mradi wanaosimamia.
Hapa ndipo unaboini mgawa fedha anatakiwa awe mtu asiye na malengo ya Urais au Mwenye roho ya bifu. Mgawa fedha anapaswa awe mtu neutral ikiwezekana anayepokea shkamoo kutoka kwa wanasiasa wenye tamaa ya Urais.
Tunataka kwenda mbele lakini hatutaki kusoma alama za nyakati, tunataka kwenda mbele tukiwa na safu inayotaka ionekane ndiyo ilitufikisha huko wakati principally Tulipaswa kwenda Kama timu. Tenzi fikirisha kutokea Kanyigo Bukoba