Mwigulu ataruhusu nyota ya January ing'ae?

Mwigulu ataruhusu nyota ya January ing'ae?

Kwa mfano January kafanya nini toka ulipomjua? Au we ndio wale wa mahaba?


Ameshiriki kukomesha matumizi ya mifuko ya plastic jambo ambalo lilikuwa gumu kutekelezeka kwa miaka mingi na wengine.

Hilo mojawapo tu.
 
Huyo January ni mafia pia. Alihakikisha anampoteza kabisa william shelukindo jimbo la bumbuli akalichukua yeye.


Sasa hilo Mbona la kawaida tu. Au ukitaka awe mbunge wa kudumu .?!

Ubunge ni ushindani.

Mbona majimbo mengi tu yamekuwa yakibadilisha wabunge ?! Au jimbo la Januari ndio iwe nongwa?

Labda awe alimfanyia hila kama hao jamaa mnaosema walijiita Mamba huko Singida.
 
Ameshiriki kukomesha matumizi ya mifuko ya plastic jambo ambalo lilikuwa gumu kutekelezeka kwa miaka mingi na wengine.

Hilo mojawapo tu.
Alikomeshaje? Ile ilikuwa tayari sheria kilichotakiwa utekelezaji tu.
 
Kwenye kuhakikisha enforcement ya sheria inatekelezwa.

Wengi walishindwa hiyo kwa miaka mingi.
Hiyo miaka hakuna lililowezekana ndio maana ye mwenyewe January alihusika na mikataba ya hovyo ya tanesco, kulikuwa na uvuvi wa kutumia mabomu kila mahali, uuzaji wa viwanja holela nchi nzima, miradi kutokamilika.
 
Alikomeshaje? Ile ilikuwa tayari sheria kilichotakiwa utekelezaji tu.
Kwanza sio yeye kasimu ndio katoa marufuku kwanza, na yeye kafatia, kukaa kidogo katumbuliwaga.
 
Sasa hilo Mbona la kawaida tu. Au ukitaka awe mbunge wa kudumu .?!

Ubunge ni ushindani.

Mbona majimbo mengi tu yamekuwa yakibadilisha wabunge ?! Au jimbo la Januari ndio iwe nongwa?

Labda awe alimfanyia hila kama hao jamaa mnaosema walijiita Mamba huko Singida.
Mpaka kuandika hivi maana yake alifanya hila chifu.
 
Kwanza sio yeye kasimu ndio katoa marufuku kwanza, na yeye kafatia, kukaa kidogo katumbuliwaga.


Kwenye utekelezaji wa jambo ni kawaida linapokuwa na ugumu mtu mwingine kama Januari alijiongeza kumuomba PM alitangaze ili kuonesha msisitizo wa utekelezaji.
Ni namna jinsi alivyokuwa na utayari na nia ya kuona ajiongeze vipi ili hilo jambo lipate wepesi wa kutekelezeka.

Kwa ambao wanauzoefu na umakini wa utendaji Na uongozi wataelewa hili kirahisi.

Watendaji wengi hupenda kutumia watu wahamasishaji kwenye mambo fulani ili kurahisisha utekelezaji wa jambo yamkini. Off ni kwa baada ya mambo na siyo yote.
 
Nchi haiendeshwi hivyo. Nitamshangaa kiongozi anayeweza kukwamisha miradi ya Serikali au anayeweza kuomba fedha nje ya malengo ya Serikali.

Pili, tuache tabia ya kuchonganisha viongozi wetu kwa maneno ya kijiweni. Siamini na sijawahi kuona msuguano wowote kati ya ndugu yangu January na ndugu yangu Mwigulu.
 
Nchi haiendeshwi hivyo. Nitamshangaa kiongozi anayeweza kukwamisha miradi ya Serikali au anayeweza kuomba fedha nje ya malengo ya Serikali.

Pili, tuache tabia ya kuchonganisha viongozi wetu kwa maneno ya kijiweni. Siamini na sijawahi kuona msuguano wowote kati ya ndugu yangu January na ndugu yangu Mwigulu.

Umesahau kuweka namba ya simu
 
Unataka ampe hela za miradi gani kwa mfano? Ya kwenda kununua smart meters za kufunga kila nyumba? Au ana miradi gani hasa ya Makamba unayodhani inatija.

Average annual usage ya umeme kila nyumba nchi za mabeberu ni kati ya Kw 4000 - Kw 10000.

Huku kwetu average consumption ya kila nyumba kwa mwaka ni Kw 95.

Lengo la smart ni watu ku control matumizi yao ya nyumbani ili kupunguza athari za mazingira unaenda unaangalia meter ukiona umeme mkubwa unatumika, uweze ku switch of unnecessary usage.

Sasa wewe nchi maskini unataka smart meter ya nini wakati on average kwa mwaka ndio kwanza aujafikisha ata Kw 100.

Huku sijui una ambitions za green technology. Upuuzi wao wanaoongea unaweza kuona wa maana kama uelewi strategies za energy security.

Ujasambaza umeme nchi nzima, ulionao sio wa uhakika wanawaza mambo ya kijinga, halafu wewe unataka Mwigulu achezee hela kuendekeza upuuzi huo.
 
Huyo January ni mafia pia. Alihakikisha anampoteza kabisa william shelukindo jimbo la bumbuli akalichukua yeye.
Hamna kitu, alibebwa na BABAKE, hana UMAFIA wowote, mweupe sana, hawezi fanya kitu mbele ya "MAMBA" jemadari na jitu lenye potentialities kama MWIGULU NCHEMBA....🤣🤣😁😁🙏🙏✅✅
 
Kwa mfano January kafanya nini toka ulipomjua? Au we ndio wale wa mahaba?
Wewe toka umezaliwa umefanya nini cha maana? Kumbuka mwenzio yuko serikalini toka enzi ya JK, JPM na sasa kama angekuwa hana la maana angeendelea kuwepo? Mbona wewe hujateuliwa badala yake?
 
Back
Top Bottom