johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Bora Paul Makonda!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwigulu mshenzi tuMwigulu hawezi kumfikia January hata siku moja japo wote ni wale wale fisiemu lakini January is far better than Mwigulu.
Mimi namdharau Nchemba sana kutokana na majibu yake na hata mijadala yake
Kwa mfano January kafanya nini toka ulipomjua? Au we ndio wale wa mahaba?
Nimekuelewa..ila pengine ni kipi hicho cha maana alichosema January pengine itanipa hamasa.
Huyo January ni mafia pia. Alihakikisha anampoteza kabisa william shelukindo jimbo la bumbuli akalichukua yeye.
Alikomeshaje? Ile ilikuwa tayari sheria kilichotakiwa utekelezaji tu.Ameshiriki kukomesha matumizi ya mifuko ya plastic jambo ambalo lilikuwa gumu kutekelezeka kwa miaka mingi na wengine.
Hilo mojawapo tu.
Alikomeshaje? Ile ilikuwa tayari sheria kilichotakiwa utekelezaji tu.
Hiyo miaka hakuna lililowezekana ndio maana ye mwenyewe January alihusika na mikataba ya hovyo ya tanesco, kulikuwa na uvuvi wa kutumia mabomu kila mahali, uuzaji wa viwanja holela nchi nzima, miradi kutokamilika.Kwenye kuhakikisha enforcement ya sheria inatekelezwa.
Wengi walishindwa hiyo kwa miaka mingi.
Kwanza sio yeye kasimu ndio katoa marufuku kwanza, na yeye kafatia, kukaa kidogo katumbuliwaga.Alikomeshaje? Ile ilikuwa tayari sheria kilichotakiwa utekelezaji tu.
Mpaka kuandika hivi maana yake alifanya hila chifu.Sasa hilo Mbona la kawaida tu. Au ukitaka awe mbunge wa kudumu .?!
Ubunge ni ushindani.
Mbona majimbo mengi tu yamekuwa yakibadilisha wabunge ?! Au jimbo la Januari ndio iwe nongwa?
Labda awe alimfanyia hila kama hao jamaa mnaosema walijiita Mamba huko Singida.
Kwanza sio yeye kasimu ndio katoa marufuku kwanza, na yeye kafatia, kukaa kidogo katumbuliwaga.
Nchi haiendeshwi hivyo. Nitamshangaa kiongozi anayeweza kukwamisha miradi ya Serikali au anayeweza kuomba fedha nje ya malengo ya Serikali.
Pili, tuache tabia ya kuchonganisha viongozi wetu kwa maneno ya kijiweni. Siamini na sijawahi kuona msuguano wowote kati ya ndugu yangu January na ndugu yangu Mwigulu.
Rais wa kwenye mawe yote ya SingidaMwigulu hawezi kumfikia January hata siku moja japo wote ni wale wale fisiemu lakini January is far better than Mwigulu.
Mimi namdharau Nchemba sana kutokana na majibu yake na hata mijadala yake
Hamna kitu, alibebwa na BABAKE, hana UMAFIA wowote, mweupe sana, hawezi fanya kitu mbele ya "MAMBA" jemadari na jitu lenye potentialities kama MWIGULU NCHEMBA....🤣🤣😁😁🙏🙏✅✅Huyo January ni mafia pia. Alihakikisha anampoteza kabisa william shelukindo jimbo la bumbuli akalichukua yeye.
Wewe toka umezaliwa umefanya nini cha maana? Kumbuka mwenzio yuko serikalini toka enzi ya JK, JPM na sasa kama angekuwa hana la maana angeendelea kuwepo? Mbona wewe hujateuliwa badala yake?Kwa mfano January kafanya nini toka ulipomjua? Au we ndio wale wa mahaba?