Mwigulu jibu hoja za wabunge, PhD yako isiwe kinga ya kukwepa hoja!

Mwigulu jibu hoja za wabunge, PhD yako isiwe kinga ya kukwepa hoja!

Izia maji

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2021
Posts
2,997
Reaction score
5,385
Mheshimiwa Spika Tulia Akson tafadhali chukua nafasi yako kama kiongozi wa bunge kuhakikisha serikali inajibu hoja zote za wabunge kwa ufasaha vinginevyo bunge litapoteza heshima yake.

Mwigulu ajibu hoja za wabunge na siyo kuwadhalilisha eti kwa kuwa ana PhD. Hapo bungeni wapo walioishia darasa la saba, wengine form four na pia wapo wenye digrii moja, mbili na PhD wote wako sawa na wanawakilisha wananchi wao bila kijali viwango vya elimu yao.

Mwigulu ameonyesha udhaifu na ulimbukeni wa kiwango kikubwa kwa kudhani PhD yake ni kila kitu katika maisha ya wananchi. Tunamtaka Mwigulu ajibu hoja za wabunge na asilete vioja bungeni kwa kuwazuia kwa vitisho wasiihoji serikali eti tu kwa sababu wana viwango vya chini vya elimu!
 
Amesomea PhD chuo Gani. Tanzania Kuna vyuo vitatu tu ambavyo ukisomea hapo at least tuna Imani nawe: SUA, UDSM na Muhimbili. Vingine mmh
Mwigulu anapaswa kujibu hoja za wabunge, haijalishi mbunge ana kiwango gani cha elimu. Hapa anataka kutueleza kuwa hawezi kujibu hoja za wapiga kura wake jimboni kwa sababu ya elimu yao?
 
Halafu anajibu kwa panic kwa kumshambulia mbunge, sijui hasila za nini.
 
Mheshimiwa Spika Tulia Akson tafadhali chukua nafasi yako kama kiongozi wa bunge kuhakikisha serikali inajibu hoja zote za wabunge kwa ufasaha vinginevyo bunge litapoteza heshima yake.

Mwigulu ajibu hoja za wabunge na siyo kuwadhalilisha eti kwa kuwa ana PhD. Hapo bungeni wapo walioishia darasa la saba, wengine form four na pia wapo wenye digrii moja, mbili na PhD wote wako sawa na wanawakilisha wananchi wao bila kijali viwango vya elimu yao.

Mwigulu ameonyesha udhaifu na ulimbukeni wa kiwango kikubwa kwa kudhani PhD yake ni kila kitu katika maisha ya wananchi. Tunamtaka Mwigulu ajibu hoja za wabunge na asilete vioja bungeni kwa kuwazuia kwa vitisho wasiihoji serikali eti tu kwa sababu wana viwango vya chini vya elimu!
Huyu mwigulu wala phd hana bali madesa tu. Awatambie wasiomjua uzuri tena ni chawa wa mama aliyekuwa akihenyeshwa na mwendazake huku naye akikenua na kujipendekeza asiachwe
 
Mwigulu bhana [emoji1787][emoji1787][emoji1787] eti wabunge wa ccm uwezo wao ni kuchambua uganga na sio masuala ya uchumi ...shida zooote hizi wa kulaumiwa ni Mzee wa chatto . .. kubaka demokrasia 2020 na matokeo yake ndo haya ..amepeleka wabunge vihiyo ..

Sent from my DRA-LX5 using JamiiForums mobile app
Haaaa haaaa likina mzee wa chato alimgundua akamtwanga chini . Bi hangaya kamweka ka boya hawezi kiweka kichwa cha mumsumbua
 
Mwigulu bhana [emoji1787][emoji1787][emoji1787] eti wabunge wa ccm uwezo wao ni kuchambua uganga na sio masuala ya uchumi ...shida zooote hizi wa kulaumiwa ni Mzee wa chatto . .. kubaka demokrasia 2020 na matokeo yake ndo haya ..amepeleka wabunge vihiyo ..

Sent from my DRA-LX5 using JamiiForums mobile app
Yaani nimeshangaa hakuna ata Mbunge mmoja aliyesimama na kuomba muongozo wa spika ili jamaa awaombe wabunge samahani na atengue kauli yake.

Kiti pia kiliruhusu lugha ile itumike Bila kumkanya Msemaji.

Yote hii imeonyesha dharau kwa Spika wa Bunge,kwamba anasimamia kongamano la waganga wa jadi na miti shamba, Waziri Mkuu ambaye ni sehemu ya Bunge, wabunge na wananchi kwa ujumla..Bila kumsahau mtia sahihi ya makubaliano na maazimio kwa maana ya miswada wafanyayo waganga hawa.

Nchi nyingi sana hapa duniani huyu jamaa asingemaliza kikao kile akiwa bado na cheo chake... only in Tanzania a minister can abuse the house of representatives in a national TV and get to keep his job..SHAME
 
Mheshimiwa Spika Tulia Akson tafadhali chukua nafasi yako kama kiongozi wa bunge kuhakikisha serikali inajibu hoja zote za wabunge kwa ufasaha vinginevyo bunge litapoteza heshima yake.

Mwigulu ajibu hoja za wabunge na siyo kuwadhalilisha eti kwa kuwa ana PhD. Hapo bungeni wapo walioishia darasa la saba, wengine form four na pia wapo wenye digrii moja, mbili na PhD wote wako sawa na wanawakilisha wananchi wao bila kijali viwango vya elimu yao.

Mwigulu ameonyesha udhaifu na ulimbukeni wa kiwango kikubwa kwa kudhani PhD yake ni kila kitu katika maisha ya wananchi. Tunamtaka Mwigulu ajibu hoja za wabunge na asilete vioja bungeni kwa kuwazuia kwa vitisho wasiihoji serikali eti tu kwa sababu wana viwango vya chini vya elimu!


Ngoja nimwite hapa aje kujibu yeye mwenyewe; Mnyiramba njoo huku uje ujibu shutuma kali dhidi yako.🤣🤣
 
Mna safari ndefu sana hadi kuja kuendelea, hakuna nchi iliyo endelea kwa kuongozwa na vilaza.

Hilo bunge lina members ambao ujitambulisha kama wao qualified CPA’s on top of that kuna baadhi ya wachambuzi waalikwa kwenye TV wenye jukumu la kutoa elimu ambao ujiita CPA.

Unakuwaje qualified accountant (CPA) kama ata audit processes uzijui.

Auditing report aiwezi andikwa bila ya kuwapa nafasi wahusika kujibu audit query.

Hadi audit report inaandikwa ni kwamba muhusika alishapewa nafasi ya kutoa maelezo kuhusu entries kadhaa ambazo conciliation hazipo sawa (na kama conciliation hazipo kuna entry or expenditure ambayo aiwezi kuwa traced from the bank).

From the above ☝️processes, if you do not respond in time; you are gonna get “unqualified audit report” kama ni public trading company kesho shares zako zinashuka hakuna investor makini anaeweza kuwa makini na shirika kama hilo au lender (it’s very bad).

Kwa taasisi za umma auditing report ya unqualified kuna watu kadhaa hawana kazi nchi za wenzetu ambayo wizara husika unasimamia efficiency serikalini.

Ila kwenye serikali za ovyo kama Tanzania “unqualified report’ unaeza poteza muda wako kusikiliza waziri anae ropoka ovyo kwa sababu sio mtaalamu na anakupa clues alivyo kilaza where the problem lies.

Kwa maelezo ya Mwigulu he can get away with that nonsensical information in Tanzania na kwenye bunge la vilaza alipoongelea government payment priorities ndipo alipojufunga (in terms of what comes first given the available income to distribute).

Moreover considering katibu mkuu kiongozi ndio mwenye kuidhinisha malipo. Maana yake nini; at times they authorize expenditures on paper only, without distributing the funds into local accounts.

You have to be an accountant kuona jinsi hawa watu walivyo wajinga (na waziri alivyo mropokaji) even more alarming kama waziri mwenyewe kiazi its enough of a reason why you shouldn’t trust IMF and WB reports apparentlythey don’t do thoroughly checks.

Tanzania ni nchi ya ovyo mnooooooo
 
Huyu mwigulu wala phd hana bali madesa tu. Awatambie wasiomjua uzuri tena ni chawa wa mama aliyekuwa akihenyeshwa na mwendazake huku naye akikenua na kujipendekeza asiachwe
Uchawa ulianzishwa na JPM mwenyewe kwa kupenda mno kusifiwa na kila mtu kila alipokwenda.

Zile siasa za kutaja majina yote manne za kusema John Joseph Pombe Magufuli ulikuwa mwanzo wa uchawa wenyewe.
 
Mwigulu Huwa simwelewi yupoyupo tu
Ana audience yake, nchi ngumu sana hii.
But he is not a top notch economist he is just not analytical.

Unabaki na maswali how he attained his masters, Phd or how he even wrote his undergraduate thesis.

He is just not clever ukimsikiliza mpaka unajiuliza hivi IMF na WB wana cheza games gani kwa rules za mikopo kumsifia kiazi kama huyu.
 
Mheshimiwa Spika Tulia Akson tafadhali chukua nafasi yako kama kiongozi wa bunge kuhakikisha serikali inajibu hoja zote za wabunge kwa ufasaha vinginevyo bunge litapoteza heshima yake.

Mwigulu ajibu hoja za wabunge na siyo kuwadhalilisha eti kwa kuwa ana PhD. Hapo bungeni wapo walioishia darasa la saba, wengine form four na pia wapo wenye digrii moja, mbili na PhD wote wako sawa na wanawakilisha wananchi wao bila kijali viwango vya elimu yao.

Mwigulu ameonyesha udhaifu na ulimbukeni wa kiwango kikubwa kwa kudhani PhD yake ni kila kitu katika maisha ya wananchi. Tunamtaka Mwigulu ajibu hoja za wabunge na asilete vioja bungeni kwa kuwazuia kwa vitisho wasiihoji serikali eti tu kwa sababu wana viwango vya chini vya elimu!

Bunge la majizi ya kura lina heshima gani?
 
Back
Top Bottom