- Thread starter
- #21
Basi walinde heshima ya nchi!Bunge la majizi ya kura lina heshima gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi walinde heshima ya nchi!Bunge la majizi ya kura lina heshima gani?
Majizi ya kila kituBunge la majizi ya kura lina heshima gani?
Wizi wa kura wenyewe unachafua nchi, sasa wezi wanailindaje?Basi walinde heshima ya nchi!
Katiba mpya ni muhimu ili kuondoa mapungufu kama haya.Wizi wa kura wenyewe unachafua nchi, sasa wezi wanailindaje?
Eti 'rais wetu mpendwa mzalendo namba moja mheshimiwa dokta John pombe Joseph magufuli mwenyekiti wa chama Cha mambuzi na amiri jeshi mkuu wa majeshi yet ya ulinzi na usalama'.Uchawa ulianzishwa na JPM mwenyewe kwa kupenda mno kusifiwa na kila mtu kila alipokwenda.
Zile siasa za kutaja majina yote manne za kusema John Joseph Pombe Magufuli ulikuwa mwanzo wa uchawa wenyewe.
Na bahati mbaya sana wanaoabudiwa hawakemei tabia hii mbovu!Eti 'rais wetu mpendwa mzalendo namba moja mheshimiwa dokta John pombe Joseph magufuli mwenyekiti wa chama Cha mambuzi na amiri jeshi mkuu wa majeshi yet ya ulinzi na usalama'.
Huko america nasikia tu president Joe Biden. Kenya nasikia rais Kenyatta. Kalonzo na Raila simply wanamwita Uhuru.
Hawa wabunge wetu tunawalipa kwa kukaa pale Dodoma wajadili mambo yenye tija kwa taifa, badala yake wanatumia 25% ya muda kumsifia binadamu mwenzao.