Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rais Samia huwa anawapa wakati mgumu Mawaziri WakeKwa muda Mrefu Waziri Mwigulu Nchemba amekuwa akitoa kauli tata ambazo humlazimu Mh Rais kutoka hadharani na kuzitolea ufafanuzi kwenye hili Mwigulu inakupasa kuwajibika
View attachment 2453655
Which "utopian world" are you referring to?Covax mchango wako please.
Huyu pia tupo wote kwenye utopian world where we believe leaders should be responsible for their actions.
Am not in utopian world the member I quoted knows perfectly well what I meant, excuse meWhich "utopian world" are you referring to?
Do not confuse "Tanzanian world" with any other world"!
anakula mema ya nchi kiyoyozi mpaka nyumbaniMwigulu Nchemba hivi bado uko pamoja nasi?
Sasa wewe waziri anasema mikopo tunayokopa haiwahusu wananchi na hakuna mwananchi atakayegongewa mlango kulipa hiyo mikopo halafu kesho yake boss wake anasema tunalipa mikopo ya nje ambayo tulikopa hapo awali kwahiyo tuvumilieni kwanza, bodo unasema Rais anawapa wakati mugumu mawaziri wake.Rais Samia huwa anawapa wakati mgumu Mawaziri Wake
Sina hakika Kama Mwigulu atapona awamu hii ya Baraza la Mawaziri japo ana nafsi kubwa ya kupona maana Mara nyingi Wizara ya Fedha na Mambo ya nje huwa hazibadilishwi Mawaziri Mara kwa MaraSasa wewe waziri anasema mikopo tunayokopa haiwahusu wananchi na hakuna mwananchi atakayegongewa mlango kulipa hiyo mikopo halafu kesho yake boss wake anasema tunalipa mikopo ya nje ambayo tulikopa hapo awali kwahiyo tuvumilieni kwanza, bodo unasema Rais anawapa wakati mugumu mawaziri wake.
Mmeshapata mkojani mnataka kumchinjia madelu baharini, siyo?Sina hakika Kama Mwigulu atapona awamu hii ya Baraza la Mawaziri japo ana nafsi kubwa ya kupona maana Mara nyingi Wizara ya Fedha na Mambo ya nje huwa hazibadilishwi Mawaziri Mara kwa Mara
🤣🤣🤣yaani mwigulu naona nyakati zinamkataa kabisa.Kwa muda Mrefu Waziri Mwigulu Nchemba amekuwa akitoa kauli tata ambazo humlazimu Mh Rais kutoka hadharani na kuzitolea ufafanuzi kwenye hili Mwigulu inakupasa kuwajibika
View attachment 2453655
HAKUNA WA KUMWAJIBISHA MWIGULU HUYO NI CHUMA CHA PUA MWIGULU FOR PRESIDENT 2025 MAWE YAKE NIMEPEWA TENDA YA KUREKEBISHA MWAKA KUTOKA 2015 KUWA 2025Kwa muda Mrefu Waziri Mwigulu Nchemba amekuwa akitoa kauli tata ambazo humlazimu Mh Rais kutoka hadharani na kuzitolea ufafanuzi kwenye hili Mwigulu inakupasa kuwajibika
View attachment 2453655
Endelea kuota.Uzuri wa ndoto kama hizi unazoota hazina gharama nyingi.Ni usingizi tu na godoro la Tanfoam.HAKUNA WA KUMWAJIBISHA MWIGULU HUYO NI CHUMA CHA PUA MWIGULU FOR PRESIDENT 2025 MAWE YAKE NIMEPEWA TENDA YA KUREKEBISHA MWAKA KUTOKA 2015 KUWA 2025