Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwigulu maana haminikiMwigulu Nchemba amesema Bungeni kuwa madai ya Kampuni ya Symbion kulipwa bilioni 350 sio ya kweli sasa tunajiuliza nani muongo Mwigulu au CAG kuhusu suala la Symbion
Kama haijalipwa bilion 350 imelipwa shilingi ngapi?Mwigulu Nchemba amesema Bungeni kuwa madai ya Kampuni ya Symbion kulipwa bilioni 350 sio ya kweli sasa tunajiuliza nani muongo Mwigulu au CAG kuhusu suala la Symbion
mwigulu ni ccm na uwe makini kumuamini mtu wa ccm!Mwigulu Nchemba amesema Bungeni kuwa madai ya Kampuni ya Symbion kulipwa bilioni 350 sio ya kweli sasa tunajiuliza nani muongo Mwigulu au CAG kuhusu suala la Symbion
CAG anadanganye kwa manufaa ya nani kwa mfano? Jibu ushalijua nani amedanganya!Mwigulu Nchemba amesema Bungeni kuwa madai ya Kampuni ya Symbion kulipwa bilioni 350 sio ya kweli sasa tunajiuliza nani muongo Mwigulu au CAG kuhusu suala la Symbion
Mwigulu, Nape, Ummy, Bashe, Aweso, Makamba, Jafo ni matapeli tupuMwigulu Nchemba amesema Bungeni kuwa madai ya Kampuni ya Symbion kulipwa bilioni 350 sio ya kweli. Sasa tunajiuliza nani muongo, Mwigulu au CAG kuhusu suala la Symbion?
Hivi hana watetezi wa kuonyesha mikeka ya malipo kama zama zile za escow walivyofanya wavujishaji?Soon watamsingizia hayati tena
hivi Mwigulu alimjibuje spika kuhusu trab na trat...! kwamba ni nini vile?Mwigulu Nchemba amesema Bungeni kuwa madai ya Kampuni ya Symbion kulipwa bilioni 350 sio ya kweli. Sasa tunajiuliza nani muongo, Mwigulu au CAG kuhusu suala la Symbion?