Mwigulu na Yanga

Babu Kijiwe

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2010
Posts
4,830
Reaction score
4,729
Aisee huyu Mh. Mwigulu anaipenda sana timu ya Yanga, mimi binafsi simkubali ktk siasa zake ila kwa hili la kuichagua Yanga namuunga mkono 100% japo mimi ni mikia nasubiri kushuka daraja mwakani kwani mwaka huu nimesalimika. Big up Mwigulu namimi nahamia huko maana huku kwetu stress..... Mwigulu Yanga, Ridhi Yanga, Jk Yanga, Karume Yanga.......
 

Sasa Kwa Yeye Kuwa Shabiki Wa Yanga Unadhani Ana Uwezo Wa Kuwa Rais Wetu 2015-2020? Ukishakuwa Shabiki Wa Yanga Una Laana!
 
George Mkuchika naye huudhuria sambamba na Mwigulu
 
Mama karume nae yanga, Mbowe nae yanga hata mimi pia yanga.

Yanga daima mbele nyuma mwiko.
 
Kabulu na aveva nao wanahudhuria mechi za yanga.TENA KABULU MECHI ZOTE ZA VPL YUPO.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…