Mwigulu Nchemba achanwa makavu, aambiwa ni mbumbumbu wa elimu. Dharau kibao wakati hana akili pamoja na kuwa na Phd

Mwigulu Nchemba achanwa makavu, aambiwa ni mbumbumbu wa elimu. Dharau kibao wakati hana akili pamoja na kuwa na Phd

Pamoja na kuwa kateuliwa na Rais, lakini huyu mwamba ajiangalie sana Bunge likichachamaa wanaweza kumwondoa at any time t...... ohooo.
Bunge lipi Mkuu hili hili chini ya Yule.
 
Kifupi Mwigulu aombe tu radhi na kujirekebisha,ukimfatilia kwa makini utagundua kuwa ana hiyo tabia ya kujisikia au kujiona bora sana kuliko wengine,hii si kwa sababu ya cheo chake ndivyo alivyo,sasa inamuharibia kwa nafasi aliyonayo...
 
Pamoja na kuwa kateuliwa na Rais, lakini huyu mwamba ajiangalie sana Bunge likichachamaa wanaweza kumwondoa at any time t...... ohooo.
Nimemkumbuka marehdmu Idd Simba na sakata la sukari, alijibu hovyo wabunge Mkapa akamtetea mwisho wa siku Mkapa akasema isiwe taabu akamtema
 
Back
Top Bottom