Dawa zime exipayaKwani yule mganga wake wa Shelui kafa? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Naona mbuyu umeanza kukatwa mdogomdogoMwingulu nchemba ni mpumbavu mmoja...
Mwizi tu hana lolote ni limbukeni mmoja hivi ambaye tungekuwa na serikali imara asinge takiwa kuendelea na hiyo nafasi hadi sasa .Lowassa hakutaka shari
Huyu Mwigullu hawamuwezi Ni msomi, ni Tajiri na wabunge Wengi huwa wanampiga mizinga
Huyo bwege ana jopo la waganga toka kila pembe ya nchi hii na kiboko wa wote yuko Pemba kibibi fulani hivi kina ziwa mojaKwani yule mganga wake wa Shelui kafa? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
"Utukufu wa Mungu umeondoka".Ikabodi ndo jina linalowafaa
Pale alikuwa amekalia kiti Mzee wa spidi na viwango Mr Samwel Six R.I.P ndio maana iliwezekana Mkuu !Liliomuondoa Lowassa
Kumbe ni wa Shelui ?! 😂Kwani yule mganga wake wa Shelui kafa? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hafikii hata robo ya utajiri wa Lowasa.Lowassa hakutaka shari
Huyu Mwigullu hawamuwezi Ni msomi, ni Tajiri na wabunge Wengi huwa wanampiga mizinga
Atarudi ku-recharge.Dawa zime exipaya
Lowassa hakutaka shari
Huyu Mwigullu hawamuwezi Ni msomi, ni Tajiri na wabunge Wengi huwa wanampiga mizinga
Hakuna msomi kama yeye na mzalendo rais ajayeBwana amewaondolea utukufu wake.
Wakati ule tulikuwa na Bunge, hatukuwa na hawa najisi.Liliomuondoa Lowassa
Sio Shelui bali nafikiri ni mitaa ya Ndago Ndago hivi au UshoraKumbe ni wa Shelui ?! [emoji23]