Mganguzi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2022
- 1,604
- 3,715
Nilianza kumfuatilia sana huyu mwamba nilipoona jina lake limeshika kasi, barabara za mikoani kwenye mawe makubwa na miti mikubwa waliandika jina la mwigulu wakimtaja kama Rais ajaye! binafsi nimewahi kumtembelea ofisini kwake.
Ni msikivu sana na hana kiburi wala dharau. Tuliongea mengi nakumbuka wakati huo alikuwa Waziri wa Mambo ya Ndani.
Kuna shida kubwa nilikuwa nayo kipindi hicho, nakumbuka alimtuma msaidizi wake mpaka ofisini kwangu. Yule jamaa kwa sasa ni mbunge wa jimbo moja huko Tanga. Alifika ila alichopewa aniletee hakuwahi nifikishia mpaka leo!
Bado nampenda sana Mwigulu natamani siku moja nimuone mbali zaidi ya hapo.
Ni msikivu sana na hana kiburi wala dharau. Tuliongea mengi nakumbuka wakati huo alikuwa Waziri wa Mambo ya Ndani.
Kuna shida kubwa nilikuwa nayo kipindi hicho, nakumbuka alimtuma msaidizi wake mpaka ofisini kwangu. Yule jamaa kwa sasa ni mbunge wa jimbo moja huko Tanga. Alifika ila alichopewa aniletee hakuwahi nifikishia mpaka leo!
Bado nampenda sana Mwigulu natamani siku moja nimuone mbali zaidi ya hapo.