Kobello
JF-Expert Member
- Feb 20, 2011
- 8,967
- 8,547
I don't bite my tongue.Ongeza kufikiria na rudia kusoma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I don't bite my tongue.Ongeza kufikiria na rudia kusoma
Na wewe umeshakata tamaa na CCM yako.....!!?Wampe Prof Lipumba
mwigulu anayo PhD ya kusome na pia first class degree na ni Moja ya watu waliofaulu vizuri kwenye masuala ya uchumi na kodi ni nguli kweli kweli , labda aje profesa sio Dr.Mwigulu alistahili kuwa Katibu mwenezi wa chama. Hiyo Wizara ilitakiwa kusimamiwa na wataalam waliobobea kwenye masuala ya fedha, kodi na uchumi.
Kusomea na kufaulu vizuri tunakubaliabaliana nayo kikubwa ubunifu ktk uchochezi wa kukuwa kiuchumi na ukasanyaji wa kodi ya nchi , mfumo utakao leta unafuu kwa wananchi na sio malalamiko, nikupe mfano Zambia wananunuwa mafuta bei chini kuliko sisi na wakati wao km ni zaidi ya sisi toka port .mwigulu anayo PhD ya kusome na pia first class degree na ni Moja ya watu waliofaulu vizuri kwenye masuala ya uchumi na kodi ni nguli kweli kweli , labda aje profesa sio Dr.