Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mfadhili wa kila goli la YangaMama Samia anahusikaje na Yanga ? kama ni mfadhili mpya tutangazieni.
Yanga ni timu ya serikali, tumelisema hili Mara nyingi hamtaki kuelewa.Mama Samia anahusikaje na Yanga ? kama ni mfadhili mpya tutangazieni.
Mama Samia anahusikaje na Yanga ? kama ni mfadhili mpya tutangazieni.
Mpira wanauweka kuwachanganya mjue mpo pamoja…“Ukweli usemwe, ushindi wa bao tano dhidi ya mtani si kila timu inaweza. Hii ndo Yanga ya Dkt Samia, Tupewe maua yetu, na huu ndio mwendo wetu mpya. Hongereni sana Wananchi kwa ushindi wa kishindo dhidi ya mtani.” Waziri wa Fedha Dkt Mwigulu Nchemba.
Kama inauma chomoaMpira wanauweka kuwachanganya mjue mpo pamoja…
Mpira bongo Jan thru Dec si upuuzi huu
Wananchi wanashabikia mpira kuliko haki za msingi.
Eti yanga ya nani tena?! Rubbish
Bado hujasemaMpira wanauweka kuwachanganya mjue mpo pamoja…
Mpira bongo Jan thru Dec si upuuzi huu
Wananchi wanashabikia mpira kuliko haki za msingi.
Eti yanga ya nani tena?! Rubbish
Samwel Sita,Zito Kabwe na Makonda.tulieni sindano ziwaingie mpone hayo maradhi yenu. Umeshamsahau Prof. Juma Kapuya? au umezaliwa juzi. Kapuya alikuwa kiongozi mkubwa na kamwe hakuficha u-simba wake na tena mnazi kuliko nyie vitoto vya siku hizi. Viongozi nao wana hisia wacha wajiachie na furaha walizonazo
Makamu wa rais Philp Mpango ni YangaYamekuwa hayo? Kassimu, Ndugai, Zungu, Kapuya and likes hawa waliwahi kuficha mapenzi yao?
Ile Kamati aliyoiteuwa Gabachori wenu Mwamedi unajuwa Mwenyekiti. Wake mi Jaji wa mahakama kuu?
Hivi wewe ni mbumbumbu wa kiwango cha kutokujuwa bungeni kuna timu za simba na Yanga na wabunge huwa wanapambana derby yao?
Kweli hiki kipigo cha mbwa koko kimewafyatuwa watu akili.
Limeiba, linaweka tozo halafu linawasaulisha watanzania kwa kuzungumzia mpira.Chawa hawajawai kua watu wazuri huyo mwigilu atueleze matrilioni yetu ya pesa yapo wap Cc.luaga mpinaa
Jakaya kama Kikwete MrishoSamwel Sita,Zito Kabwe na Makonda.
Wabongo unafki upo kwenye damu.Viongozi wa Serikali Hawapaswi kuegemea upande wa Team yoyote. Hata Kama wana Mahaba na Team fulani; wanapaswa kuficha Mahaba yao
Hawa ni Walezi wa kila Team