Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu wanalipwa. Take this one; pale maeneo ya mwananyamala kwa mama zakari upande wa kulia kuna mtaa una gereji bubu... Mtaa ule kuna makada-wa CCM ni almost siku ya nne leo wanapita nyumba hadi nyumba kwa malengo yafuatayo: mosi ni kujua wanachama wa ccm ni wangapi na pili wanashawishi kama si mwanachama uchukue kadi ya ccm. Kazi hii hufanywa na mjumbe na kijana toka ofisi za ccm m/nyamala ujiji pale. Wanaongozana na mwanamke ambaye anajitambulisha ni mhanga wa siasa chafu za chadema kwa lile Bomu la Arusha. Hama mkono mmoja na upande wa uso kama ameungua. Yeye hujieleza kwanza na ndipo mjumbe hukuomba ujiunge ccm. Sijui kama ni mkakati wa uchaguzi wa serikali za mtaa au lah! That lady anakunja fedha pale ofisi za ccm ujiji.
ukibishana na mjinga na wewe pia utakuwa mjinga na kukosa hekima na busara, poor mwigulu ni kama dekio au fagio la chooni, unajua wakati mwingne kwel ccm inatia huruma sana na hasira sana bac sisi werevu tupotezee huu ujinga wa hao watu nina imani kubwa na watanzania watawapuuza hao vicha wenye uchu na madaraka
Kama amekubali kuwa vinyago wa ccm kwanini wasiitwe vinyago???Kumuita binadamu mwezio kinyago, kisa tu amemwagiwa tindikali na CHADEMA ni uzandiki usiosemeka!
Hawa jamaa wanaotembezwa na ulemavu wao namna hiyo sijui hata wanajisikiaje mioyoni mwao! Unawezaje kumruhusu mwanasiasa kutumia ulemavu wa kiwango hicho kama mtaji wake kisiasa wakati huo huo ukiwa unaonyeshwa kama picha mbele za watu? Au kwa wenzetu hawa kwao hii ni ajira kwa maana kwamba wanajiingizia kipato kwa kuonyeshwa hadharani namna hiyo?
Kama amekubali kuwa vinyago wa ccm kwanini wasiitwe vinyago???
Mwigulu unacho kifanya sii cha kistaarabu kugeuza matatizo ya watu siasa ,,.unalaana wewe
Kuna ushahidi gani uliopo hapo, Kwa hiyo mnataka CDM waje na CD za Mwangosi, Yule mwenyekiti wa USA river aliyechinjwa na vijana wa CCM, na pia waje na picha za mabomu ya Arusha. Mwigulu usitumie matukio kama hayo kwanza ni mwiko kutumia mwanadamu kama kielelezo cha kile unataka kufikisha.Chadema ni sawa na Alshabaab tu.
Viongozi wao wanatumia maisha ya watu kama mtaji wa siasa
Angewaeleza jinsi polisi walivyotoa ushahidi mahakamani kuwa alikodisha kundi la kufanya Vurugu kule Singida kijiji cha ndago kwenye mkutano wa CHADEMA na kusababisha mauaji ya kijana mmoja mtoto wa kiongozi mwenzake wa CCM