Mwigulu Nchemba na Ashatu Kijaji ni Mawaziri wenye utendaji unaotia shaka

Mwigulu Nchemba na Ashatu Kijaji ni Mawaziri wenye utendaji unaotia shaka

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594

Mgomo wa Kariakoo umeibua mengi, lakini pamoja na kuonyesha madudu ya uncontrollable TRA na rushwa za nje nje zilizoishinda serikali kuzikabili, mgomo umeibua jambo serious la utendaji chini ya kiwango wa mawaziri wa Fedha na Mipango, pamoja na yule wa Biashara na Viwanda.

Wiazara hizi lazima zifanyekazi kwa pamoja, au kwa kiingereza, in tandem. Weledi na experience ya kiutendaji inatia mashaka. Mgomo wa Kariakoo umeonyesha hawa mawaziri ni mzigo kiuchumi. Hawajui kiuhalisia nini kinaendelea katika wizara zao na kwa wadau kwa ujumla.

Matamshi yao bungeni yameonyesha hawajui nini kinaendelea kwenye sekta zao. Mama Samia tunamshauri kuwa na mtu kuwa Dr wa PhD, ana umri mdogo, ujue hapo experience ni kile tu alichosoma na hana uxoefu wa ingalau hata miaka 10-15 kazini.

Tulikuwa na maProfesa kama Dr Ndulu waliofanya kazi miaka zaidi ya 30 kwenye sekta za Uchumi. Watu wa aina hiyo tunao. Si vema kuuweka uchumi wetu rehani kwa wasomi wachanga wasio na uzoefu wa aina yoyote.

Mwigulu Nchemba na Ashatu Kijaji wapelekwe vyuoni wakaendelee kufundisha tu kile walichosoma.
Kuongoza uchumi kitu ingine.
 
Mama Samia Suluhu Hassan hebu kuwa msikivu umpumzishe Mwigulu. Toka kumteua amekuwa mtu wa kupingwa tu.

Hata kama unampenda sana kama waziri wako elewa kuwa halaiki haimpendi, viongozi wenzie hawampendi naamini hata Mungu hampendi sababu ya udhalimu wake.

Mpumzishe Mwigulu mama, inatosha sasa.
 
Mwigulu ni mjivuni kilaza lakini Ashatu ameteleza kwa hofu ya kupoteza uwaziri apewe muda ajirekebishe!
 
Nina wasiwasi Kwa KIBRI Cha Mwigu hata akitumbuliwa anaweza kugoma kukabidhi ofisi.
 
Mama Samia Suluhu Hassan hebu kuwa msikivu umpumzishe Mwigulu. Toka kumteua amekuwa mtu wa kupingwa tu.

Hata kama unampenda sana kama waziri wako elewa kuwa halaiki haimpendi, viongozi wenzie hawampendi naamini hata Mungu hampendi sababu ya udhalimu wake.

Mpumzishe Mwigulu mama, inatosha sasa.
Huoni kuwa raisi ndo mwenye tatizo
 
View attachment 2626032
Mgomo wa Kariakoo umeibua mengi.
Lakini pamoja na kuonyesha madudu ya uncontrollable TRA na rushwa za nje nje zilizoishinda serikali kuzikabili, mgomo umeibua jambo serious la utendaji chini ya kiwango wa mawaziri wa Fedha na Mipango, pamoja na yule wa Biashara na Viwanda.

Wiazara hizi lazima zifanyekazi kwa pamoja, au kwa kiingereza, in tandem.

Weledi na experience ya kiutendaji inatia mashaka.
Mgomo wa Kariakoo umeonyesha hawa mawaziri ni mzigo kiuchumi.
Hawajui kiuhalisia nini kinaendelea katika wizara zao na kwa wadau kwa ujumla.

Matamshi yao bungeni yameonyesha hawajui nini kinaendelea kwenye sekta zao.
Mama Samia tunamshauri kuwa na mtu kuwa Dr wa PhD, ana umri mdogo, ujue hapo experience ni kile tu alichosoma na hana uxoefu wa ingalau hata miaka 10-15 kazini.
Tulikuwa na maProfesa kama Dr Ndulu waliofanya kazi miaka zaidi ya 30 kwenye sekta za Uchumi.
Watu wa aina hiyo tunao.
Si vema kuuweka uchumi wetu rehani kwa wasomi wachanga wasio na uzoefu wa aina yoyote.

Mwigulu Nchemba na Ashatu Kijaji wapelekwe vyuoni wakaendelee kufundisha tu kile walichosoma.
Kuongoza uchumi kitu ingine.]
Ata mteuaji naye anapaswa apumzike sasa.Kariakoo ni soko la kimataifa,alipaswi kufungwa ata kwa dakika au masaa.Hiyo ni sababu tosha kabisa ya kuwaondoa Mawaziri wa Wizara husika.
Enzi za Magufuli kwa tukio lile lazima tungepata barua ya utenguzi!
 
Ata mteuaji naye anapaswa apumzike sasa.Kariakoo ni soko la kimataifa,alipaswi kufungwa ata kwa dakika au masaa.Hiyo ni sababu tosha kabisa ya kuwaondoa Mawaziri wa Wizara husika.
Enzi za Magufuli kwa tukio lile lazima tungepata barua ya utenguzi!
Kwa Majaliwa kufika Kariakoo, kabla ya Nchemba au Kijaji insonyesha hao mawaziri wasivyojua kuona uzito wa tatizo.
 
Serikali nzima ya ccm sioni mtendaji. Nitajie nani?

Huyu mama Samia ndiyo aliyependekeza tozo.
Huyu waziri mkuu ndiyo kabisaa!! Amefanya nn zaidi kuteka wagombea upinzani alivyokuwa anagombewa nao jimboni kwake?

Kuwalaumu mawaziri ni ujuha kwasabb serikali haifanyi kazi kwa vipande vipande. Kodi ama tozo haviundwi na mtu mmoja. Lazima vipitoshwe na Baraza la mawaziri ambalo mwenyekiti wake ni rais.
 
View attachment 2626032
Mgomo wa Kariakoo umeibua mengi.
Lakini pamoja na kuonyesha madudu ya uncontrollable TRA na rushwa za nje nje zilizoishinda serikali kuzikabili, mgomo umeibua jambo serious la utendaji chini ya kiwango wa mawaziri wa Fedha na Mipango, pamoja na yule wa Biashara na Viwanda.

Wiazara hizi lazima zifanyekazi kwa pamoja, au kwa kiingereza, in tandem.

Weledi na experience ya kiutendaji inatia mashaka.
Mgomo wa Kariakoo umeonyesha hawa mawaziri ni mzigo kiuchumi.
Hawajui kiuhalisia nini kinaendelea katika wizara zao na kwa wadau kwa ujumla.

Matamshi yao bungeni yameonyesha hawajui nini kinaendelea kwenye sekta zao.
Mama Samia tunamshauri kuwa na mtu kuwa Dr wa PhD, ana umri mdogo, ujue hapo experience ni kile tu alichosoma na hana uxoefu wa ingalau hata miaka 10-15 kazini.
Tulikuwa na maProfesa kama Dr Ndulu waliofanya kazi miaka zaidi ya 30 kwenye sekta za Uchumi.
Watu wa aina hiyo tunao.
Si vema kuuweka uchumi wetu rehani kwa wasomi wachanga wasio na uzoefu wa aina yoyote.

Mwigulu Nchemba na Ashatu Kijaji wapelekwe vyuoni wakaendelee kufundisha tu kile walichosoma.
Kuongoza uchumi kitu ingine.]
Waende.
 
Back
Top Bottom