Uchaguzi 2020 Mwigulu Nchemba Vs Kiltila Mkumbo jimbo la Iramba Magharibi

Kanywe uji wa mihogo.
Sinywagi uji.
umetumwa na Yule anayechoraga mawe mkoa wa singida.
Sijui kama umesoma posti kwa umakini,

Rudia kusoma hii sehemu...

"...Maendeleo hayaletwi na mwanasiasa, maendeleo yako yataletwa na wewe mwenyewe. ."

Ungekua na akili ungejua hapa sio tu nimegusa kitila bali nimegusa mpaka huyo mwigulu wako.

Tafadhali soma vizuri mada kabla ya kukimbilia kujibu ujinga.

Narudia tena huo muda unaotumia kutafutia watu chakula ungeutumia kusaidia bibi yako kule kijijini, huyo mwigulu au kitila wakishapata ubunge hutawaona tena mpaka 2025 tena!!

Acha ujinga kijana.
 
Kwani hiyo nafasi aliyonayo kwa sasa haimtoshi??
 
Chadema isimamishe mtu imara hapo ili tulinyakue jimbo
 
Rais 2020
 

Attachments

  • FB_IMG_15867997808272711.jpg
    34 KB · Views: 3
Labda kura ipigiwe jf na WhatsApp, Ila kwa Iramba, akipata hata nusu ya kura zangu nawambia Chama changu wamtangaze kuwa ndio mshindi. "NI HESABU MBAYA SANA KUPAMBANA NA MAMBA KWENYE KINA KIREFU CHA MAJI"
 
Labda kura ipigiwe jf na WhatsApp, Ila kwa Iramba, akipata hata nusu ya kura zangu nawambia Chama changu wamtangaze kuwa ndio mshindi. "NI HESABU MBAYA SANA KUPAMBANA NA MAMBA KWENYE KINA KIREFU CHA MAJI"
Umepanic Sana wewe dogo, JIMBO Huna
Umeaminiwa Ktk sehem nyingi serikalin
Umeenda kuwa mwiz tuu
Kwanini Jpm alikutumbia?
 
Labda kura ipigiwe jf na WhatsApp, Ila kwa Iramba, akipata hata nusu ya kura zangu nawambia Chama changu wamtangaze kuwa ndio mshindi. "NI HESABU MBAYA SANA KUPAMBANA NA MAMBA KWENYE KINA KIREFU CHA MAJI"
Nyie madokta na maprofesa wa nchi ni wajinga kweli yani mnatia aibu.

Profesa/dokta mzima badala ya kukaa kuja mawazo ya kuisaidia hii nchi kutoka kwenye UMASKINI ambao chama chenu kimesababisha mnakaa kuanza utafuta teuzi na kubishana kama watoto!!

Hivi ni lini mtakua na akili?

Shilingi inashuka, uchumi mbovu nyie mpo tu! ajira hakuna, viwanda hoi....yani mmekaa kaa tu mnawaza madaraka!

Sasa PhD zenu zina msaada gani kwenye hii nchi maskini kusini mwa afrika?

Jifunzeni hata kwa wenzenu basi!! Angalieni wanavyo saidia nchi zao!

Kwa kweli sio wewe tu, hata kitila, mnatia aibu sana.
 
Huyo ni tapeli na mwizi taarifa zake tunazo kwao aliambulia kujenga kilabu cha pombe. Ana roho mbaya sana huyu hawezi kuwa mbadala wa Mwigulu. Mwambieni aendelee na wizi wake kwenye ukatibu mkuu
 
Hii niliwahi kuileta mimi kwa title ingine - du kumbe JF kuna watu wanachukua threads za wenzao!
 
Labda kura ipigiwe jf na WhatsApp, Ila kwa Iramba, akipata hata nusu ya kura zangu nawambia Chama changu wamtangaze kuwa ndio mshindi. "NI HESABU MBAYA SANA KUPAMBANA NA MAMBA KWENYE KINA KIREFU CHA MAJI"
Mayu na Mimi naomba kazi kwenye timu yako!
 
"NI HESABU MBAYA SANA KUPAMBANA NA MAMBA KWENYE KINA KIREFU CHA MAJI"
Mkuu Mhe. Mwigulu Nchemba, maadam wewe ni kada mzoefu wa CCM ambaye ni born and breed, unajua fika the determinant ya mgombea wa CCM sio kura za maoni za wana CCM!, huna sababu ya ya kutumia maneno ya mipasho ya kwenye kanga kutishia watu.

Kitu cha muhimu sana kwako kwa sasa Mhe. Mwigulu, ni kuendelea kujibu hoja kama hizi kule kwenye like bandiko lako hili
Ana kwa ana na Mwigulu Nchemba: Kuelekea Uchaguzi Mkuu 2020 - JamiiForums

Zitakusafishia njia, na sio kujibu kimipasho humu.
Ni ushauri tuu!
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…