Uchaguzi 2020 Mwigulu Nchemba Vs Kiltila Mkumbo jimbo la Iramba Magharibi

Uchaguzi 2020 Mwigulu Nchemba Vs Kiltila Mkumbo jimbo la Iramba Magharibi

Na declare interest. Mama yangu ni mzaliwa wa jimbo hili. Ubunge si Mali ya mtu mmoja na hivyo Mwigulu sio mfalme wa jimbo letu. Amekata miaka kumi bila bila. Kitila ndie hasa anaefaa kwa utulivu wake, Sharp in decision, reasoning and cooperative. Mwigulu umeua mkoa kwa kuiua timu yetu Singida United. Kumi tosha Mwigulu kaa pembeni hata fomu usichukue kama unatuheshimu wana Iramba.
 
Covid19 imeshaingia Iramba lakini wananchi wanafichwa kwa ushauri wa Mwigulu Iramba hali ni mbaya ni mbaya kweli kweli
 
Mimi ni mpinzani sijawahi kua ccm,ila nimefurahi mwigulu kurudi uwazirini Sasa yule msaliti kitila ndo ataijua ccm ni ya akima nani
 
Msimtishe beans Iramba Ni ya wanyiramba wote na Kila mtu anahaki ya kugombea. Alichora mawe Kama kampeni acheni uzandiki kwani hata huyu si nasikia I kabla ya kuteuliwa kuwa katibu wizaran si alikuwa MMM1 kule actz na yule jamaa wa sihasa za marekani! Hahaaaaaa wanyira bwana Hawaaminiki Hawa. Subiri uone sarakasi zao October ndo Utawajua kwa undani
 
Back
Top Bottom