Sawa Mayu Mlenge!Yametajwatajwa majina humu. Na yote ni ya watu mashuhuri Iramba.
Mkuu Mwigulu Nchemba, kiukweli baada ya utetezi wa jana, sasa ndio nakubaliana na wewe."NI HESABU MBAYA SANA KUPAMBANA NA MAMBA KWENYE KINA KIREFU CHA MAJI"
Wanahitajiana!Nazani Mkulu MJOMBA kapima upepo wa Mwigulu Nchemba kagundua ni wa kisulisuri au kimbunga ndani ya chama.
Aseeee!Mkuu Mwigulu Nchemba, kiukweli baada ya utetezi wa jana, sasa ndio nakubaliana na wewe.
Hongera sana kwa uteuzi
Ila mara moja upatapo chance, uwe unashuka jf.
P
Kuogelea kwenye kina cha Mamba ni jaribio baya sana.ETI mkuu ilikuwaje Jpm akamtema Mamba
Alituambia ni mtu WA hovyo hovyo
La kwangu hujaliona mkuu?Yametajwatajwa majina humu. Na yote ni ya watu mashuhuri Iramba.
Alishaiona huyo!