system hacker
JF-Expert Member
- Mar 13, 2022
- 426
- 709
Waziri wa Fedha Dr. Mwigulu Nchemba ni moja wa MaDr wakubwa wa uchumi tulio nao hapa nchini. Tunajivunia.
Bahati nzuri kwake yupo kabisa kwenye 'core system' yaani ni policy maker mwenyewe hivyo hana cha kusingizia.
Je, kwa uwezo wake wa kitaaluma kwenye masuala ya kiuchumi, imekuaje anashindwa kupiga kata funua tatizo dogo la ajira kwa vijana?
Au ndio hivyo tena darasani fresh lakini field ngumu?
Dr. Nchemba prove haters wrong!
Naomba nimpe heko Mh. Hussein Bashe kwa misimamo yake kuhusu mazao ya kilimo. Nakukubali sana, na watanzania wote tupo nyuma yako.
Reference:
Dr Jakaya Kikwete alikuwa mchumi wa kawaida tu lakini alimwaga ajira hadi zikamwagika.
Akaona haitoshi akawamwagia hadi wenye vyeti feki.
Akaona haitoshi ufisadi ukapigwa nje ndani laki sio pesa ilikuwa ni awamu yake.
Dr. Mwigulu unakwama wapi?
Hello Mh. Dr. JK pls mpe desa Mama na Mwigulu.
Bahati nzuri kwake yupo kabisa kwenye 'core system' yaani ni policy maker mwenyewe hivyo hana cha kusingizia.
Je, kwa uwezo wake wa kitaaluma kwenye masuala ya kiuchumi, imekuaje anashindwa kupiga kata funua tatizo dogo la ajira kwa vijana?
Au ndio hivyo tena darasani fresh lakini field ngumu?
Dr. Nchemba prove haters wrong!
Naomba nimpe heko Mh. Hussein Bashe kwa misimamo yake kuhusu mazao ya kilimo. Nakukubali sana, na watanzania wote tupo nyuma yako.
Reference:
Dr Jakaya Kikwete alikuwa mchumi wa kawaida tu lakini alimwaga ajira hadi zikamwagika.
Akaona haitoshi akawamwagia hadi wenye vyeti feki.
Akaona haitoshi ufisadi ukapigwa nje ndani laki sio pesa ilikuwa ni awamu yake.
Dr. Mwigulu unakwama wapi?
Hello Mh. Dr. JK pls mpe desa Mama na Mwigulu.