vvvv
JF-Expert Member
- Apr 12, 2018
- 406
- 717
- Thread starter
- #21
Ongea facts siyo bla blakuwa na mawazo na mtazamo wa eti mtu Fulani ni tatizo la soka mahali fulani ni upotoshaji 🐒
mambo ya socar yamebadilika, football imebadilika uwanjani hadi nje ya uwanja. Football imekua biashara kubwa na inayolipa sana Duniani 🐒
Imani potofu, ushirikina na uchawi, visicheleweshe mafanikio ya socar Tz, nadhani vibaki huko huko vijijini 🐒