Mwigulu: Sijawahi kuwasiliana na Dkt. Emmanuel Nchimbi kwa e-mail tangu nizaliwe

mwigulu lameck madelu nchemba, hivi kwa nini rais kikwete a.k.a mwenyekiti wa ccm taifa alikuteua kuwa makamu mwenyekiti wa ccm bara!
 

Hivi hiki ulichokiandika umekisoma mara mbili ukakielewa? Huyu ADILI yuko wapi hata wamuulize Ben Saanane katoa wapi password?
 
Last edited by a moderator:

Mwigulu mbona vitisho sasa polisi lazima muwe makini na mwigulu anaweza kusababisha amani ya nchi hii ikapotea huyu jamaa ni gaidi
 
Wewe ni mnafiki tu tunakujua kipaji chako ni umbea na uzushi.
Wow!

This is great! For sure nimeamua kuwasaidia jeshi la polisi kwa kuwapa Link ya hii thread.

Mchango huu ni wa muhimu sana kurahisisha hili sakata.

Kumbe tuna vipaji vinapotea bure tu.

Tupo kwenye right track so far.Thanks alot!
 

Wewe ndio pathetic birch dog...

--------- na Mwigulu Savimbi unajitoa ufahamu unaona wazazi Wako wanaolala na njaa kijijini kwenu kama wana laana vile. Open your eyes, umaskini Wako na WA wazazi Wako umesababishwa na akina Mwigulu Savimbi, badala ya kuwapigia magoti kwa njaa ya buku Saba waambie ukweli kuwa watanzania tumewachoka..

R.I.P Ally Zona, damu yako aliyoimwaga Mwigulu Nchemba haitipotea bure.
 

Pole sana, kuna jambo la kujifunza hapo. Mlipokuwa mkipanga sirini kwa watu wengine waso na hatia, Mungu yeye akaidhinisha mwanao mpenzi awe miongoni mwa watakaodhuriwa ni mipango haramu ili uonje maumivu ya mipango miovu.
 

Stop! Wacha kabisa kuonyesha upumbavu wako kwa kutishia wapenda haki! Mmeng'oa kucha watu mmeua watu halafu mnataka tuwaache tu muendeleze ubaradhuliwe wenu! Wewe una uwezo gani wa ki-computer kama sio kutembea hovyo na wake za watu! Mawazo na vitisho vyako vya ki-asherati viache huko huko nyumbani kwako! Huna uwezo wowote mwoga na mvivu namba moja! Mmebaki kutumia vyombo vya usalama kufanya ufirauni na uuaji wenu na nchi imewashinda kuongoza! Kuna siku mtatolewa ofisini na mkiwa na pingu na mtajibu ujinga wenu wote mnaoufanya baada ya kuona nchi imewashinda! NA KAMA KWELI WEWE UNA UWEZO HEBU PENETRATE HII COMPUTER YANGU NINAYOTUMIA! NAKUAMBIA HUWEZI WEWE MWOGA! Unataka kutubabaisha na udokta wako feki wa kununua hapa!
 
Ben, asante kwa majibu yako. Wanadhani cdm hakuna wataalam, hakika nchi inakaribia ukombozi wa kweli. Ccm itumie njia nyingine na bado hawataweza kamwe. Mh. Wasira, sasa ni mwishoni mwa 2013 na chadema bado ni imara. Ongeza muda zaidi.
 
Mkono wa Mwigulu unatuhumiwa kunuka damu kila pembe ya nchi hii,WATZ hawana imani naye kila mtu anamuogopa kama shetani na ni aibu kwake na vijana wenzie! kuna matukio mengi na kauli zake zinaunganishwa nayo! Hakuna haja ya kuyarudia lakini napenda atambue kuwa JAMII YA WATZ HAINA IMANI NAYE! Mabaya yote na mauaji yanayosemwa yatamwandama na ni imani yangu kwa kuwa MUNGU ni mwema,mwisho wake utakuwa wa kusikitisha.AMEN
 

Hii nchi kuna watu wanapenda kujifagilia sana, umepost kutishia watu au kutafuta sifa? Unavyo vitaja hata sisi tunavijua vyema
 

Teh teh teh asante mkuu,et kamtu kanajifanya ka-IT kumbe uchwara tu.Wakina Snowden tumetulia huku.Hata hivo Watanzania wapo ktk mkakati mzito sn."HATA DORA YA AMERIKA ITAKUJA ANGUKA TU" TENA KWA AMANI
 

bavicha ni kiwanda cha matusi.
Kama una ushahidi wa hilo bomu kwanini msiweke hadharani kama hamhusiki?
Acheni kutafuta umaarufu kwa majina ya watu nendeni mahakamani.

Alaf nimegundua hii story ya ben ni vigumu kuitenganisha na chadema ndio maana wamempatia wakili kabisa.
 

Rest in Hell MABINA! !!
 
wewe kila kitu unachoambiwa unameza tu kama dodoki? una ushahidi wa mambo hayo unayoongea? tumia akili usiwe unameza kila uzushi unaousikia

Ndugu yangu, laana uliyo nayo na ukatili ufanyao kwa waTanzania wenzako kisa siasa, malipo ni hapa hapa duniani. Nafsi yako inakusuta, hii leo ndiyo unakurupuka kujibu shutuma, ulikuwa wapi siku zote? Au kwa kuwa swahiba wako Nchimbi kapigwa chini uwaziri hanmna ujanja tena wakutumia policcm na usalama wa taifa kufanya ufedhuli wenu?
 
mh mwigulu,leo hii unatoa hoja ya vijana kutowachafua viongozi,?????? mkakati wako wa kuwachafua viongozi wa cdm ikiwa ni pamoja na kutengeneza tuhuma na video ya ugaidi ilikuwa sawa? ACHA UNAFIKI NA UJINGA.

Bora anayewachafua kuliko MUUAJI,DAMU iliyomwagika itarudi tu. "Mwigulu na Ndugai njooni Mbeya mfanye mikutano ya hadhara kama ninyi kweli ni wanaume"
 
Here we go.... Notredame hata uje na id gani, huwezi kuficha abuse ya access to info and people around you

I dont think kumtaja adilli ni sahihi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…