Mwigulu, Sio kila jambo la Benki ya Dunia (WB) lina mashiko

Mwigulu, Sio kila jambo la Benki ya Dunia (WB) lina mashiko

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Nimemsikia Mwigulu anasema kwa kujigamba kwamba benki ya dunia inafanya tathimini sasa kama bado tunastahili kuitwa nchi masikini.
Hivi ni kweli Mwigulu afahamu hali halisi ya maisha ya Watanzania wengi mpaka aisuburie benki ya dunia kumwambia?

Benki yenyewe ya dunia kuna mambo huwa inapotoka sana mfano hili la kuzifawa nchi katika makundi mbalimbali ya kipato. Benki ya Dunia inatuambia nchi ambazo raia wake wana wastani wa kipato kati ya $1100 hadi $4500 kwa mwaka tayari ziko uchumi wa kati, yani nchi ambayo wastani wa kipato cha mwananchi kwa mwezi ni kati ya laki mbili na nusu hadi laki tisa na nusu hiyo ni nchi ya uchumi wa kati!

Sasa tuambiane tu ukweli mtu mwenye kipato cha TSh 250,000 kwa mwezi ambapo sisi ndipo tulipo kwa sasa anawezaje kuacha kuwa masikini? Laki mbili na nusu Tanzania ya leo inaweza kumtosha mtu kupata chakula cha maana, nishati, mavazi, usafiri na pesa ya matibabu??

Mwigulu ni waziri mwenye majigambo mengi ya ajabu ajabu sana yasiyo na mashiko yoyote.
 
Halafu kwenye kukokotoa wastani wa kipato cha kila mmoja , hela za Mo Dewji na Bakhresa wamezijumuisha humo . Huwa naona kama hizo wastani hazina uhalisia .
 
Tundu Lissu amesema wasimchague. mana Jimbo lake halina hata maji
 
Nimemsikia Mwigulu anasema kwa kujigamba kwamba benki ya dunia inafanya tathimini sasa kama bado tunastahili kuitwa nchi masikini.
Hivi ni kweli Mwigulu afahamu hali halisi ya maisha ya Watanzania wengi mpaka aisuburie benki ya dunia kumwambia?

Benki yenyewe ya dunia kuna mambo huwa inapotoka sana mfano hili la kuzifawa nchi katika makundi mbalimbali ya kipato. Benki ya Dunia inatuambia nchi ambazo raia wake wana wastani wa kipato kati ya $1100 hadi $4500 kwa mwaka tayari ziko uchumi wa kati, yani nchi ambayo wastani wa kipato cha mwananchi kwa mwezi ni kati ya laki mbili na nusu hadi laki tisa na nusu hiyo ni nchi ya uchumi wa kati!

Sasa tuambiane tu ukweli mtu mwenye kipato cha TSh 250,000 kwa mwezi ambapo sisi ndipo tulipo kwa sasa anawezaje kuacha kuwa masikini? Laki mbili na nusu Tanzania ya leo inaweza kumtosha mtu kupata chakula cha maana, nishati, mavazi, usafiri na pesa ya matibabu??

Mwigulu ni waziri mwenye majigambo mengi ya ajabu ajabu sana yasiyo na mashiko yoyote.
Sahihi kabisa, huo uchumi wa kati upo kwenye karatasi tu.
 
Benki ya Dunia ni Kikundi Cha mabwanyenye wachache tu Kibongo bongo ndio hawa Mikopo Umiza 🐼
 
Nimemsikia Mwigulu anasema kwa kujigamba kwamba benki ya dunia inafanya tathimini
Hapo ndipo Taarifa ilipoishia.
Naomba kuuliza.
Amesema kwa majigambo kuwa benki hiyo ya dunia inafanya tathmini ya nini?

sasa kama bado tunastahili kuitwa nchi masikini.
☝🏿hayo ndiyo aliyoyasema au ni "perspective" yako?
Hivi ni kweli Mwigulu afahamu hali halisi ya maisha ya Watanzania wengi mpaka aisuburie benki ya dunia kumwambia?
Imemwambia nini? Sisi bado masikini?😲🤔😮
Benki yenyewe ya dunia kuna mambo huwa inapotoka sana mfano hili la kuzifawa nchi katika makundi mbalimbali ya kipato. Benki ya Dunia inatuambia nchi ambazo raia wake wana wastani wa kipato kati ya $1100 hadi $4500 kwa mwaka tayari ziko uchumi wa kati, yani nchi ambayo wastani wa kipato cha mwananchi kwa mwezi ni kati ya laki mbili na nusu hadi laki tisa na nusu hiyo ni nchi ya uchumi wa kati!
☝🏿Porojo
Sasa tuambiane tu ukweli mtu mwenye kipato cha TSh 250,000 kwa mwezi ambapo sisi ndipo tulipo kwa sasa anawezaje kuacha kuwa masikini? Laki mbili na nusu Tanzania ya leo inaweza kumtosha mtu kupata chakula cha maana, nishati, mavazi, usafiri na pesa ya matibabu??
Utuambie unafanya ulinganishi huo na wapi? Nchi gani? Sarufi gani? $€£¥? Kwacha?
Mwigulu ni waziri mwenye majigambo mengi ya ajabu ajabu sana yasiyo na mashiko yoyote.
Yote huko juu, kuja kusema Mwigulu ana majigambo?

Amevunja sheria gani ya Nchi kwa kuwa Waziri mwenye majigambo

=====
Yours,
Chibaka
 
Yupo memba amesema.. ifike mahali wa Tanzania tuzaliane na Kenya..
 
Nimemsikia Mwigulu anasema kwa kujigamba kwamba benki ya dunia inafanya tathimini sasa kama bado tunastahili kuitwa nchi masikini.
Hivi ni kweli Mwigulu afahamu hali halisi ya maisha ya Watanzania wengi mpaka aisuburie benki ya dunia kumwambia?

Benki yenyewe ya dunia kuna mambo huwa inapotoka sana mfano hili la kuzifawa nchi katika makundi mbalimbali ya kipato. Benki ya Dunia inatuambia nchi ambazo raia wake wana wastani wa kipato kati ya $1100 hadi $4500 kwa mwaka tayari ziko uchumi wa kati, yani nchi ambayo wastani wa kipato cha mwananchi kwa mwezi ni kati ya laki mbili na nusu hadi laki tisa na nusu hiyo ni nchi ya uchumi wa kati!

Sasa tuambiane tu ukweli mtu mwenye kipato cha TSh 250,000 kwa mwezi ambapo sisi ndipo tulipo kwa sasa anawezaje kuacha kuwa masikini? Laki mbili na nusu Tanzania ya leo inaweza kumtosha mtu kupata chakula cha maana, nishati, mavazi, usafiri na pesa ya matibabu??

Mwigulu ni waziri mwenye majigambo mengi ya ajabu ajabu sana yasiyo na mashiko yoyote.
Mwigulu kagundua wadanganyika hawana la kumfanya watanuna watalala wata amka hivyo ana wageuza kama chapati!
 
Nimemsikia Mwigulu anasema kwa kujigamba kwamba benki ya dunia inafanya tathimini sasa kama bado tunastahili kuitwa nchi masikini.
Hivi ni kweli Mwigulu afahamu hali halisi ya maisha ya Watanzania wengi mpaka aisuburie benki ya dunia kumwambia?

Benki yenyewe ya dunia kuna mambo huwa inapotoka sana mfano hili la kuzifawa nchi katika makundi mbalimbali ya kipato. Benki ya Dunia inatuambia nchi ambazo raia wake wana wastani wa kipato kati ya $1100 hadi $4500 kwa mwaka tayari ziko uchumi wa kati, yani nchi ambayo wastani wa kipato cha mwananchi kwa mwezi ni kati ya laki mbili na nusu hadi laki tisa na nusu hiyo ni nchi ya uchumi wa kati!

Sasa tuambiane tu ukweli mtu mwenye kipato cha TSh 250,000 kwa mwezi ambapo sisi ndipo tulipo kwa sasa anawezaje kuacha kuwa masikini? Laki mbili na nusu Tanzania ya leo inaweza kumtosha mtu kupata chakula cha maana, nishati, mavazi, usafiri na pesa ya matibabu??

Mwigulu ni waziri mwenye majigambo mengi ya ajabu ajabu sana yasiyo na mashiko yoyote.
Naunga mkono hoja
 
20240625_060241.jpg
 
Yupo memba amesema.. ifike mahali wa Tanzania tuzaliane na Kenya..
Anaweza kuwa sahihi, njia mojawapo ya kuondoa zinazoitwa generational poverty ni kuanzisha familia na watu ambao hawana hayo matatizo.
 
Nimemsikia Mwigulu anasema kwa kujigamba kwamba benki ya dunia inafanya tathimini sasa kama bado tunastahili kuitwa nchi masikini.
Hivi ni kweli Mwigulu afahamu hali halisi ya maisha ya Watanzania wengi mpaka aisuburie benki ya dunia kumwambia?

Benki yenyewe ya dunia kuna mambo huwa inapotoka sana mfano hili la kuzifawa nchi katika makundi mbalimbali ya kipato. Benki ya Dunia inatuambia nchi ambazo raia wake wana wastani wa kipato kati ya $1100 hadi $4500 kwa mwaka tayari ziko uchumi wa kati, yani nchi ambayo wastani wa kipato cha mwananchi kwa mwezi ni kati ya laki mbili na nusu hadi laki tisa na nusu hiyo ni nchi ya uchumi wa kati!

Sasa tuambiane tu ukweli mtu mwenye kipato cha TSh 250,000 kwa mwezi ambapo sisi ndipo tulipo kwa sasa anawezaje kuacha kuwa masikini? Laki mbili na nusu Tanzania ya leo inaweza kumtosha mtu kupata chakula cha maana, nishati, mavazi, usafiri na pesa ya matibabu??

Mwigulu ni waziri mwenye majigambo mengi ya ajabu ajabu sana yasiyo na mashiko yoyote.

Hiyo 250,000 ni wastani wa pato la mtu mmoja. Hivyo familia yenye Baba na mama, na watoto 4, maana yake iwe na wastani wa kipato cha sh 1,500,000 kwa mwezi.
 
Hiyo 250,000 ni wastani wa pato la mtu mmoja. Hivyo familia yenye Baba na mama, na watoto 4, maana yake iwe na wastani wa kipato cha sh 1,500,000 kwa mwezi.
Naelewa mkuu, milioni 1.5 kwa familia ya watu 6 kukidhi mahitaji kwa mwezi mmoja bado ni ufukara mtupu.
 
Back
Top Bottom