Mwigulu ukimaliza Awamu ya Sita ukiwa Waziri wa Fedha basi wewe jiwe

Mwigulu ukimaliza Awamu ya Sita ukiwa Waziri wa Fedha basi wewe jiwe

Ng'wanamangilingili

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2015
Posts
5,778
Reaction score
4,859
Hizi wizara mawaziri mnazibumunda sana na kuzichechemesha. Kama umekaa na jopo lako la kitaalamu la kikodi na ukaja na uteuzi wa samatta, kumwembe sijui na mobeto kuwa waelimishaji rika wa kodi unapoteza kani na sijui hii itakusaidia vipi kuongeza wigo na mapato ya kodi.

Kama ni matakwa yako mwenyewe na mileage za kisiasa sasa nakuhakikishia kuwa hutataboa Awamu ya Sita hii hata kama inamchukulia Mama ni mpole lakini si kilivyo, usidhani wewe kuteuliwa kuwa FM hakuna wengine.

Hiyo siyo wizara ya publicity ya kuteua teua celebrities na influencers kama Utalii huko mnakookoteza watu kuwa mabalozi. Hii ni wizara serious sana, backbone ya wizara zote. Haitaki mbwembwe inahitaji mipango ya kuonekana.

Mama Samia Rais wetu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Tafadhali mbadilishie majukumu waziri wako, tunajua unampenda ila yeye hakupendi na haipendi mama Tanzania.

View attachment 1826490
 
Hii Post Nadhani inamvaa Kama Kaptura la Max, refer kitabu cha Keiziraabi, the man is not fit for the post, Si rahisi Kuimaliza miaka hata miwili; Kuna gap kubwa sana kati yake na nafasi aliyokabidhiwa. time will tell, let us wait and see!!!!
 
Mwigulu atatolewa soon!

Kwanza mapato yamepungua sana maana watu hawalipi kodi, na kodi kupungua imesababishwa na rais mwenyewe kusema watu walipe kodi kwa hiari!
Sasa mtaz na kodi kwa hiari wapi na wapi?

Kinachotokea sasa ni kwamba kodi imepungua sana, sasa Mwigulu atatolewa kama kafara.
 
Atashindwa tu , wamemuongezea wagebill toka 700bln hadi 1trn . na wakati makusanyo ya ndani kila mwezi haizodi 1.4trn. Itabidi afanye kazi ya ziada ili akusanye zaidi ili akishalipa mishahara, ibaki chenji iende kwenye miradi ya maendelea na shughuri nyongine za serikali. Hivyo inabidi akusanye zaidi ya 2trn kwa mwezi ili shughuri za serikali zisisimame. Hivyo kazi anayo
 
Huyu jamaa tangu awe naibu katibu mkuu ccm na wizara zote alizoshika amekuwa akinenewa ovyo.
2015 mawe yote aliandika hivi;
2015 TWENDE NA MWIGULU,
SASA 2021 TWENDE NA NINI
 
Hizi wizara mawaziri mnazibumunda sana na kuzichechemesha. Kama umekaa na jopo lako la kitaalamu la kikodi na ukaja na uteuzi wa samatta, kumwembe sijui na mobeto kuwa waelimishaji rika wa kodi unapoteza kani na sijui hii itakusaidia vipi kuongeza wigo na mapato ya kodi.

Kama ni matakwa yako mwenyewe na mileage za kisiasa sasa nakuhakikishia kuwa hutataboa Awamu ya Sita hii hata kama inamchukulia Mama ni mpole lakini si kilivyo, usidhani wewe kuteuliwa kuwa FM hakuna wengine.

Hiyo siyo wizara ya publicity ya kuteua teua celebrities na influencers kama Utalii huko mnakookoteza watu kuwa mabalozi. Hii ni wizara serious sana, backbone ya wizara zote. Haitaki mbwembwe inahitaji mipango ya kuonekana.

Mama Samia Rais wetu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Tafadhali mbadilishie majukumu waziri wako, tunajua unampenda ila yeye hakupendi na haipendi mama Tanzania.

View attachment 1826490
Lukuvi naye ateue mablozi wa ardhi, nchi ya hovyo kabisa hii
 
Angekua mjanja angeomba wafanyabiashara wajitolee kumshauri namna bora ya kukusanya mapato....hakika mbinu ambazo angepewa hakika angetoboa
 
Mabeto a najua nn kuhusu kodi Zaid ya kutanua miguu nanii ipite, Samanta ze same japo yeye hatanui miguu ananyoosha. Kumwembe labda amewhi kulipa PAYE
 
Huyo hamisa hata fomfoo alitoka bilabila leo awe mshauri wa kodi.

Hao waliosoma mambo ya kodi wako wapi.

Amzalishe tu ila asiiharibu inji yetu.
 
Jamaa yupo kama mlevi anaerudi nyumbani ngoja tumuone kama atafika salama.
 
Back
Top Bottom