Mwigulu: Wanaosusia vikao vya Bunge wana mpango wa kushusha uchumi wa nchi

Uchumi wa jimbo la N.Mkono na S. Mhongo umeimarika kiasi gani tangu wawe watoro wazuri?
 
Eeh kama yule aliyekamatwa kwa tuhuma ya ujangiri na kumiliki silaha likuki kinyume na sheria
 
Uchumi utaanguka vipi na kuna mbunge munamrejesha bungeni Cecil mwambe akaongeze hoja za nguvu
 
Huyu dogo ameenda shule lakini hayaelimika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…